Sio kila kitu china, Na sisi huku mitaani Tuko vizuri

MSEZA MKULU

JF-Expert Member
Jul 22, 2011
3,752
5,497
3922252_cmcwbooxeaazsgg_jpeg79f5665edfacc11134626108bb494eda

3922254_cmcwbjmxgaepx8q_jpeg232e4c3677a1c8c38157023fa4811e03

Kijana akitumia mnyororo wa bodaboda kutengeneza Mulltiplug.
Sio kila kitu china
 
mkuu huo ni mnyororo wa pikipiki....
Ila anachokifanya huyo mlipakodi mwenzangu si sawa kabisa
uko sawa chief,
Hapa unawezakuwa na hii multicharging system kama ikiwa developed ukawa unachaji simu za soko Zima.
Hapa kijana anamuongezea kodi mkulu sio tu kodi anafacilitate kukatwa kwa 18% maana simu zinakuwa on fulltime.
miaka ya zamani watu kama hawa walikuwa wanaishia kupigwa ban sijui zama hizi za hapa kazi
 
Mkuu kumbuka anatumia mnyororo ambao umetengenezwa China
Katika stage hii, mnyororo ni Neutral.
Unaweza kuutupa, kuuza kama chuma chakavu, kujengea, au kuchezewa na watoto.
Ubunifu huu, akiuona mchina anatengeneza multipurpose extension ambayo ni mult user, Well fabricated ikiwezekana inakuwa imberded na Music system na memory card. alafu inakuja kuuzwa. Kuna soko kubwa sana hasa vijijini ambapo na masokoni maeneo ambayo kijiji kimoja wanachaji simu kwenye duka moja lenye extension yenye matundu manne. inabidi mpange foreni. Ukidevelop kwa kufanya all safety considerations ni fura, ni ajira.

japo system hii ni hatari, ila inaweza kuwa developed na kuwa safi tu.
 
mbona bado china kaplay part kwa huo mnyororo?
Stage ya mnyororo hapo ni sawa na mbao tu maana hautumiki. Kuna mwingine akiona mbao haitumiki anachukua kama kuni kukaangia chips, wakati mwingine anaidevelop anatengeneza hata Banda la njiwa, au sanaa yoyote anauza anapata fweza.

Huo mnyororo unaweza kuutupa maana katika stage hiyo hauna kazi, lkn kijana kafikiri.
 
Stage ya mnyororo hapo ni sawa na mbao tu maana hautumiki. Kuna mwingine akiona mbao haitumiki anachukua kama kuni kukaangia chips, wakati mwingine anaidevelop anatengeneza hata Banda la njiwa, au sanaa yoyote anauza anapata fweza.

Huo mnyororo unaweza kuutupa maana katika stage hiyo hauna kazi, lkn kijana kafikiri.
lakini hoja inabaki palepale mnyororo made in china mkuu..
 
idea ni nzuri sana ila kuna upotevu mkubwa wa umeme hapo ukiachilia mbali electric shock, maana hapo ukinzani ni mkubwa,
Hiyo idea inaweza kuwekwa poa kama uta consider, resistivity, cross sectional area na length ya hicho kifaa bila kusahau usalama kwa mtumiaji
uko vizuri
image06.png

lakini hapo inategemea na aina ya material, anaweza kutengeneza a special chain ya Whitegold au highly conducting materials. Hizi ni kazi za lab zetu mashuleni, Taasisi za utafiti, na vyuoni au kwa watu binafsi wenye interest na hizi kitu.
Unaweza kujikuta umeishia kwene kitu kingine very useful
 
Back
Top Bottom