TAJIRI MKUU WA MATAJIRI
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 5,708
- 10,201
hapa mtaani kwetu kuna kiroja kimetokea
usiku wa kiuamkia leo. Jamaa wana
kikundi chao cha kupiga chabo, kazi yao ni
kuzunguka kwenye magesti na kuangalia
watu wakipekenyuana.
Sasa kuna gesti wakawa wameenda,
jamaa akawa wa kwanza kupiga chabo,
wenzake wakawa wanataka na wao
waone kinachojiri.
Jamaa akawa mkali kwelikweli
akiwakatalia wenzake wasione.
Mmoja wao akamuuliza kwanini
hutupishi? Jamaa alkajibu ahh noma wana
mama yuko humu ndani.
usiku wa kiuamkia leo. Jamaa wana
kikundi chao cha kupiga chabo, kazi yao ni
kuzunguka kwenye magesti na kuangalia
watu wakipekenyuana.
Sasa kuna gesti wakawa wameenda,
jamaa akawa wa kwanza kupiga chabo,
wenzake wakawa wanataka na wao
waone kinachojiri.
Jamaa akawa mkali kwelikweli
akiwakatalia wenzake wasione.
Mmoja wao akamuuliza kwanini
hutupishi? Jamaa alkajibu ahh noma wana
mama yuko humu ndani.