kinundu
JF-Expert Member
- Oct 12, 2016
- 2,029
- 2,129
Sabrina ni mwanao ama swaga tuu...Hapana kabisa sioni wivu
Sabrina ni mwanao ama swaga tuu...Hapana kabisa sioni wivu
MwananguSabrina ni mwanao ama swaga tuu...
Kama wazungu....We kuna mkaka ni mrefu hia anavaa kaptula na ana miguu kama ya wazungu imejaa hivi hua anapendeza kinyama
RAS Simba in action...Yeah, I meant compliment.
I am among those people getting mixed with those two words. Kuanzia sasa sitalokosea tena hilo neno.
Thanks once again brother. I am working on your advice you gave me when we chatted a couple of months ago.
Na mkae kimyaa muache warefu tuongeeMnatuchokoza wafupi tukimind unatuona tuna gubu
Urefu wako ni ft ngapi? Maana na hiki kimo changu nimetafuna warefu zaidi na kunishukuruNa mkae kimyaa muache warefu tuongee
Kaptula zinawafaa watu watupi kwasababu ndio suruali zaoWakuu.
Sio kila aina ya nguo inamfaa kila mtu, kuna mawazi ya yanawafaa watu wenye maumbile flani na mengine hayawafai watu wenye maumbile flani.
Wanaume warefu kaptula hazitufai, hizi zinawafaa zaidi watu wafupi, vile vile jeans, suits, cardets zinawafaa zaidi wanaume warefu, mathalani vazi la suit halikudesigniwa kwa ajili ya watu wafupi, hili shorties mnalibaka ndio maana mtu unakuta anafanana na gunia la mkaa.
Tujaribu kuheshimu mavazi na maumbile yetu, sio kila vazi linamfaa kila mtu. Usione kwa kua mtu fulani kavaa vazi flani akapendeza basi na wewe utamani kua kama yeye, angalia kama mnaendana kiumbo.
Tusipende kulazimisha mambo yawe jinsi tunavyotaka.
Ahsante.
Nitake radhi mkuu.RAS Simba in action...
UNAMSEMA Mume wangu jaman ! ana guu zuri uwii!lina manyoya hatari !km ya wahindi !lolWe kuna mkaka ni mrefu hia anavaa kaptula na ana miguu kama ya wazungu imejaa hivi hua anapendeza kinyama
UNAMSEMA Mume wangu jaman ! ana guu zuri uwii!lina manyoya hatari !km ya wahindi !lolWe kuna mkaka ni mrefu hia anavaa kaptula na ana miguu kama ya wazungu imejaa hivi hua anapendeza kinyama
Lakini kiukweli suti hazijawah mlendeza Rais Mwinyi.Hapo pa jeans, suti, kadeti kwa watu wafupi umeharibu mkuu... Nadhan hujawahi tuona watu wafupi in our quality tumetupia suti na tumetoka chicha ile mbaya halkadhalika jeans na kadeti pia..
Watu wafupi(ila sio mbilikimo) aina nyng ya mavazi yatupendeza tofauti na nyie miTALL...
Wafupi wote OyeeeeeeeeeH.......!!