Bradha
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 8,787
- 45,248
mnanifurahisha sana.Ngoja tusubirie.Broooo. Uwiiiiiiii
Kakija nimekwisha aisee
Siku njema huko.
mnanifurahisha sana.Ngoja tusubirie.Broooo. Uwiiiiiiii
Kakija nimekwisha aisee
Jana nimeshuhudia Jirani yangu kampiga mke wake kwa nyundo hadi kumjeruhi vubaya sana maeneo ya kichwani halafu kaondoka na kutuachia sisi tushughulikie matibabu. Sasa kama wanandoa mkishakuwa hamjishushi mtaishia kuuana au kupeana vilema. Mimi nimeshakuwa kwenye ndoa kwa mwaka wa saba hatujawahi pigana wala kurushiana matusi hii yote inatoka na kujishusha kwetu tunapokoseana na ni wepesi kuombana msamaha hata kama hujakosea ili mwenzio ajionje. Mwisho ushauri wangu ukiona mmeanza kupigana achaneni maana kifuatacho mmoja wenu atakuja kutumia shoka kuadhibu mwingine na baadaye itabaki kuwa hadithi
Huku kwema bro. Natumaini hata huko ni Shwari. Tumshukuru Mungumnanifurahisha sana.Ngoja tusubirie.
Siku njema huko.
Ni kwema pia.Huku kwema bro. Natumaini hata huko ni Shwari. Tumshukuru Mungu
Maskani mnasemaje? Nitawaibukia huko muda si mrefu !!!Ni kwema pia.
Mkuu una miaka at least 80 na unacomment jf?Nimeoa Mke wa kwanza 46 years back sijawahi walau kumtia Singi
Bi mdogo nimeoa 4th April , 1994 huyo ndio catalyst Za makofi ya Hapa na pale kuzibua mirija ya fahamu inatumika
Teh acha hayo Mambo banaahili povu ngoja nilifiche wife asije akaliona.
Ila kuna maneno yanakera aacheni tu.
Ni kwema bro.Bora urudi tuu tumepambana na hashtags lakini wapiMaskani mnasemaje? Nitawaibukia huko muda si mrefu !!!
Mkuu una miaka at least 80 na unacomment jf?
Caring..Sharing is......
Tusipojibu pia tunaonekana viburi, wakati mwingine mtuelewe tu jamani ndivyo tulivyo. Ishini nasi kwa akili sio kwa mabavu.
Wanataka kunipiga through keyboard...wamefuraaaDemi, mdogo mdogo wasijewakakupiga dada yangu.
Sawa mkuuNo,tunawapiga tu hata Quran imeruhusu
Sijaona mke akanyooka kwa kupigwa. Wangekuwa wananyooka msingekuwa mnawapiga miaka nenda Rudi. Mtu anapigwa miaka yote ya ndoa yake, ina maana kipigo hakijawahi kusaidiaAnanyoka vizuri tu,kwa vibao mtanyoka tu
Sio kweli. Wengi wanaiga kwa baba zaoTena ungejua walioshuhudia mama zao wakipigwa wao huwa hawapigi wanawake fuatilia
Wanawapiga lakini rate sio kubwa Kama ya sisi watu weusiWazungu mbona wanapiga Sana wake zao, umeshawahi ishi ughaibuni?? Kama hujawahi huwezi elewa nachosema
Dar sipajui mieWewe inaonekana hao wanaume wa dar,wanakuchekea Sana,natamani ningekuwa na wewe hata week mbili tu ningekunyosha,
Halaf ukimpiga hasira zikiisha wakat ww huna mpango nae muda huo utaona usiku ndio analala uchi
Aisee Kuna mahusband wana kelele haoooo hujawahi waona? Yaani anaongea usiku mzima hamlali..uliza kisa Sasa?? Utacheka ufePicha imemaliza kila kituView attachment 963803
We ndo mwanaume SasaHata mimi napiga vibao ila vile vya kwenye doggie style. ...