Bradha
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 8,787
- 45,248
wala usihofu.Usije ukaenda kunisemea bro. Moto utakaoniwakia sipati picha
wala usihofu.Usije ukaenda kunisemea bro. Moto utakaoniwakia sipati picha
Hakuna jambo baya kama kumpiga Mwanamke na Wanaume wengine hujiwekea viapo kwamba hawezi kumpiga Mwanamke
Lakini hawa watu muda mwingine wanakera sana mpaka uvumilivu unatushinda Wanaume. Unavunja miiko na mara nyingi kinachofanya Mwanamke apigwe ni Mdomoo!
Wangu amenuna leo siku ya pilii baada ya kula vibao kadhaaa...
Je ulishawahi mpiga mpenzi wako au mke? Nini kilikuwa chanzo....
Picha imemaliza kila kituView attachment 963803
Nakutania tu bro. Hebu kaambie kuwa nimekapiga madongo huku nione katafanyejewala usihofu.
The same here mkuu, mimi sijui nipige wapi, hata afadhali nitoke je niende kucheza golf bila yeye nikirudi hasira zimeisha, lakini ati nimpige mtu ambae atanibebea watoto kadhaa miezi 9 no way, hata kaa umeniudhi vipi siwezi, nitatafuta njia ingine ya kumupa adambu kaa kukosa kumupeleka holiday, lakini kumpiga a big NO NO NONilishaweka dhamira kabisa: Sitakaa nimtandike mwanamke hata siku moja. Akishindwa kuniheshimu na nikamuonya mara kadhaa ni afadhali nimpeleke kwao akapumzike lakini kumtandika hapana...na heshima huwa hailazimishwi hata siku moja. Tatizo langu mkimya sana na huwa inachukua muda sana mpaka nikasirike. Najijua nikiamua kumtandika naweza ua mtoto wa watu bure tu !!!
Heshima mkuu, hio nilikuwa sijui, ati good food, good clothing, good kids, alafu aaze malingo, wewe noma sana mkuuNaomba utujuze wengine naona tumepotea njia. Kwao ni wapi?? Nilidhani kwa huyu mwanamke ninaye muita mke, kwao ni pale tunapokaaga naye siku zote. Sasa nitamtuma aende kule chumbani kwetu au??
Nilipo muoa nilitamka wazi na nikajiwekea nadhiri kuwa; Tutaishi pamoja siku zote za maisha yetu. Leo, unamfukuzia nje ati aende kwao!! Wapi??
Si heshima kumtuma mkeo kwa mzee nanii ati kwa kuwa ndiye alikuwa anamlea hadi ulipo mdanganya kuwa wewe sasa utakuwa babake na yeye awe mamako. Acheni hayo ya kufukuzana. Je, yeye akikufukuza utaenda wapi??
Mwanamke mpige kwa fimbo 3. 1; Mzalisheeeee hadi nguvu zimwishie atatulia tu. 2. Mpe vyakula vizuriiii hadi anenepe sana afwe kwa ugonjwa wa moyo. Natural death. 3. Mvishe sana apendeze mtaa wote umshangilie. Ataingiwa na utoto akusahau aende kuolewa nyumba ya pili. Huko atayakosa uliyo mfanyia ndipo arudi kwa kilio na adabu debe.
unaishi taifa au mkoa gani huo mkuuhuku kwetu usipowapiga wanasema huwapendi...
Kama wa mange kimambiYaani mwanamke alivyopendelewa mpaka na mdomo wake ni mkubwa shinda wa mumewe. Hatari kweli kweli ila salama, I hope.
Hata mimi napiga vibao ila vile vya kwenye doggie style. ...Busara zako ndo zimeishia Hapo? Sad!
Mkuu nimekwidwa mbele za watu hadharani muda ule nikahold hasira tusiharibu mambo mbele za watu na sikumgusa siku ile.... Ila baada ya siku hiyo kilichofuatia aaaah....dah kakukwida mkuu? kweli unakwidwa adi shart linachanika ajajajajajaja mungu aniepushie kikombe icho sasa kwanini ukumtafuna?
Mkuu unayosema ni kweli ila mara nyingi hatumpigi mtu ili kumrekebisha,..kuna wakati nyie wenyewe mnatulazimisha tuwapige.
Mwanamke akiaribu kitu ata cha ml ngapi mm ntamsamehe lakini sio kunijibu mbovu.
Hahahaaaaaa nimefundwa na kwa mwanaume aliyepita jandoni anaelewa mwanamke hapigwi .... Ukiona kakushinda sio mama yako mzazi unajua cha kufanya....ukifundwaa utajua nini unatakiwa kufanya..
nilikuwa na dem wangu kuna kipindi kilifika akawa na makusudi sana akanambia siku utakayonyanyua mkono unipige hata kofi ndio ntakuheshimu, saiv tumeshaachana nahisi sababu sikumpiga makofi kama alivyotaka wanawake viumbe vya ajabu sana we vione tu vinatembeaHakuna jambo baya kama kumpiga Mwanamke na Wanaume wengine hujiwekea viapo kwamba hawezi kumpiga Mwanamke
Lakini hawa watu muda mwingine wanakera sana mpaka uvumilivu unatushinda Wanaume. Unavunja miiko na mara nyingi kinachofanya Mwanamke apigwe ni Mdomoo!
Wangu amenuna leo siku ya pilii baada ya kula vibao kadhaaa...
Je ulishawahi mpiga mpenzi wako au mke? Nini kilikuwa chanzo....
Hahah kupiga wanawake ndio tabia za kiume mkuu??Acha tabia za kike wewe,tandika
Hujambo we mama?