Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilishaweka dhamira kabisa: Sitakaa nimtandike mwanamke hata siku moja. Akishindwa kuniheshimu na nikamuonya mara kadhaa ni afadhali nimpeleke kwao akapumzike lakini kumtandika hapana...na heshima huwa hailazimishwi hata siku moja. Tatizo langu mkimya sana na huwa inachukua muda sana mpaka nikasirike. Najijua nikiamua kumtandika naweza ua mtoto wa watu bure tu !!!
MBA- Marriage but available, na kwa hali halisi si busara kwa mwanaume kuwa na mke mmoja kama unao uwezo wa kuwatunza zaidi ya mmoja.(Out of topic)Hivi kumbe Matola umeoa mi nilijua uko singo atii
Hahaha MBA hili neno sijalisikia siku nyingi hadi nilikuwa nimelisahau. Aah basi bwana I give up nilikuwa nakuzengea ila mi siwezi kuolewa mitala nina wivu sanaMBA- Marriage but available, na kwa hali halisi si busara kwa mwanaume kuwa na mke mmoja kama unao uwezo wa kuwatunza zaidi ya mmoja.
Wagongwe tu maana hakuna namna, tumechoka na mikeleleyao. Piga keleleeeeeeeee!!!!Mdomo ndo unawaponza siku zote. Na wanawake hawalijuagi hili. "Hakuna mwanaume atakayethubutu kunyanyua mkono wake mbele ya kauli nzuri toka kwa mwanamke! Hata kama umekosea, ukishuka ukaongea kwa hekima hakuna wa kukupiga" Ila sasa unakuta mtu ana makosa afu ndo anaongea kama kameza betri za national!! Lazima udundwe tuu!!!!
Imeandikwa wapi hii mkuu?MBA- Marriage but available, na kwa hali halisi si busara kwa mwanaume kuwa na mke mmoja kama unao uwezo wa kuwatunza zaidi ya mmoja.
Isaya 4:1Imeandikwa wapi hii mkuu?
mkono wa terminator, nlisema hivyo..... ha hah ahahahaaaaa, mkuu una uhakika ulimpiga kofi(kiganja) ama ulikua ubapa wa panga, mpk rangi kubadilika kwa miezi, akii huo si mkono wa kawaidaa
Thubutuuuuuu.....Halaf ukimpiga hasira zikiisha wakat ww huna mpango nae muda huo utaona usiku ndio analala uchi
Haaaaa mkuu si umeoa mwakajana tu?hata mim nilimwambia mke stokuja kukupiga hata sku moja lakin nahis uzalendo unanishinda jana usku kidogo nimzabe nikakumbuka maneno yangu
aisee hilo ni panga Baba si mkonomkono wa terminator, nlisema hivyo..... ha hah aha
tehMimi hua naunguruma tu mpaka raia anaanza kulia, sijaanza kupiga lakini.
umenena vyema.Mwanamke anahitaji kuwa free but katika vitu tofauti so mpe uhuru tu afanye vile anaona yeye inafaa hilo litakupa wasaa wa kumjua vizuri coz akiwa anakuogopa ata feki vitu vingi.
Ukimpa uhuru utajua kipi ni tabia yake halisi, kipi alikuwa anaigiza, kipi ni udhaifu wake(natural huwez badilisha) na mengine mengi.
Hata ukimpiGa utamfanya awe suGu tu, cheza na saikolojia lazima akae sawa.
PS: Only applicable if mpenzi wako anakupenda kweli, Otherwise ni kujitesa tu
I see MeNilishaweka dhamira kabisa: Sitakaa nimtandike mwanamke hata siku moja. Akishindwa kuniheshimu na nikamuonya mara kadhaa ni afadhali nimpeleke kwao akapumzike lakini kumtandika hapana...na heshima huwa hailazimishwi hata siku moja. Tatizo langu mkimya sana na huwa inachukua muda sana mpaka nikasirike. Najijua nikiamua kumtandika naweza ua mtoto wa watu bure tu !!!