Mwanafilosofia
Member
- Jun 14, 2014
- 73
- 33
Tanzania haitaji viongoz bora ili iendelee inahitaj wananchi walio na mapenz na nchi yao na wenye uwezo na upeo wa kifikra!!! Love your neighbour hata kam.umefanikiwa bas mpiganie ambaye hajafanikiwa Tunakaa kweny vyomb vya habar kupat habar badala ya vyomb vya habar kuchukua habar toka kwetu :: Elinu ya kujibia mitihan inaikost taifa"::