Sio fair, Wanaoshinikiza Rais Mama Samia afikiri kama Magufuli sio uungwana

Ni kweli Mkuu.., lakini huyu Muimbaji wa sasa si ndio alikuwa anaimba chorus na bridge kwenye Wimbo aliokuwa anaimba Mtangulizi wake?
Sasa iweje unataka Wimbo ubadilike ikiwa yeye nae alikuwa sehemu ya Wimbo huo? Hapo kitakachobadilika ni Mahadhi ya Sauti tu ila Alaa na mapigo ya vyombo yatabaki kama yalivyo, yeye atakuja na Wimbo wake mwenyewe kuanzia 2025 hapo ndio tutajuwa Utunzi na uimbaji wa Mama sasa!!!
Hapana...nafkri kuna baadhi ya mifano sio halisi kwa baadhi ya mazingra, majukumu mama yalikuwa wazi kikatiba...hivyo asingeweza kutaka yake yeye yapitishwe bila baraka za Hayati, hivyo nafkri kipindi ni VP na sasa ni nyakati mbili tofauti.

Naunga hoja mkono kuwa aachwe afanye vyenye anaweza yeye kwakuzingatia vitu vitatu....BUSARA, UTU NA KATIBA
 
Hapana...nafkri kuna baadhi ya mifano sio halisi kwa baadhi ya mazingra, majukumu mama yalikuwa wazi kikatiba...hivyo asingeweza kutaka yake yeye yapitishwe bila baraka za Hayati, hivyo nafkri kipindi ni VP na sasa ni nyakati mbili tofauti.

Naunga hoja mkono kuwa aachwe afanye vyenye anaweza yeye kwakuzingatia vitu vitatu....BUSARA, UTU NA KATIBA
Umesema vizuri mkuu. Hoja hii Gwajima kaiweka vizuri zaidi, kwamba pamoja na hili, ni lazima tuwe na vision ya taifa kama ya miaka 50 hivi.
 
Hapana...nafkri kuna baadhi ya mifano sio halisi kwa baadhi ya mazingra, majukumu mama yalikuwa wazi kikatiba...hivyo asingeweza kutaka yake yeye yapitishwe bila baraka za Hayati, hivyo nafkri kipindi ni VP na sasa ni nyakati mbili tofauti.

Naunga hoja mkono kuwa aachwe afanye vyenye anaweza yeye kwakuzingatia vitu vitatu....BUSARA, UTU NA KATIBA
Mkuu sidhani hilo kama ni tatizo kwakuwa hayo uliyoainisha hapo ndio hizo approach nilizozungumza hapo juu anazotumia tofauti na Mwendazake.
Ila yanayotekelezwa kwa sasa yatabaki kama awali isipokuwa maono yake ya kuendea jambo lile lile yatakuwa tofauti na Mtangulizi wake..,
Mm nadhani Mama hv sasa anafanya yote hayo kwakuwa bado anawahitaji Wapiga kura kwa Mhula mwingine hivyo lazima acheze na Mdundo wa anaowaongoza, kinyume na hapo Mama halisi tutarajie kumuona kuanzia 2025!
 
Mkuu sidhani hilo kama ni tatizo kwakuwa hayo uliyoainisha hapo ndio hizo approach nilizozungumza hapo juu anazotumia tofauti na Mwendazake.
Ila yanayotekelezwa kwa sasa yatabaki kama awali isipokuwa maono yake ya kuendea jambo lile lile yatakuwa tofauti na Mtangulizi wake..,
Mm nadhani Mama hv sasa anafanya yote hayo kwakuwa bado anawahitaji Wapiga kura kwa Mhula mwingine hivyo lazima acheze na Mdundo wa anaowaongoza, kinyume na hapo Mama halisi tutarajie kumuona kuanzia 2025!
Huenda ikawa hivyo...thou wanasiasa walowengi chakula chao ni PUBLIC EMPATHY
 
Shukuran sana mama. Kwa kweli utaratibu wa watu kukulinganisha na kutaka ufanye kama mtu mwingine sio uungwana kabisa.
 
Dah....hili mbona halina mjadala...mama mwenyewe kathibitisha kuwa yeye na JPM ni kitu kimoja 🤭
 
Kuna shule ya busara inayosema kuwa Mama Samia ndio chaguo la Mungu tofauti na wale waliomtangulia. Hakulazimika kutoa rushwa kwa mtu ili awe rais, alishakubaliana na umakamu tangu 2015.

Hana sababu ya kuwa na makundi yaliyoumiza watu ili awe alipo sasa hivi. Namna alivyoupata urais inatakiwa iwe na msukumo wa kutenda haki kwa kila anachokifanya.
 
Nashukuru Mungu kwamba angalau Tanzania ya hoja kwa hoja inarejea taratibu.

Kumeibuka kundi la watu linaloshinikiza Mhe. Rais Mama Samia afikiri kama Hayati magufuli. Haieleweki vyema kwa nini wanafikiri hivyo ila kimsingi sio fair kabisa.

1. Mzee Mwinyi hakufikiri kama Nyerere, Mzee Mkapa Hakufikiri kama Mwinyi, Mzee wetu Kikwete hakutumia akili ya Mkapa, Hayati Magufuli hakutumia akili ya Mzee Kikwete, sasa kwa nini tufikiri Mhe. Rais Mama Samia anatakiwa kufikiri kama Magufuli? Sio fair kabisa yani.

2. Kila mtu huzaliwa na uwezo wake wa kipekee na 'purpose' maalum kwenye hii dunia. Kwa lugha nyingine, Mungu kamleta kila mtu kwenye dunia hii ili kutimiza jukumu fulani na amempa uwezo unaomuwezesha kutimiza jukumu husika. Ndio maana tunatofautiana busara, hekima, uvumilivu, uungwana roho nzuri na mbaya e.tc. Hivyo kutaka Mh. Rais Mama Samia afikiri kama Magufuli sio fair Kabisa!

3. Kila mtu huzaliwa 'original'. Hivyo ili mtu aache 'legacy' ni lazima abaki kuwa 'original' wakati wote. Kutaka Mhe.Rais Mama Samia afikiri kama Hayati Magufuli, ni kutaka kushinikiza asiwe 'original ' na hiyo sio fair kabisa.

4. Moja ya kitu kibaya sana duniani ni utumwa. Na utumwa mbaya zaidi ni wa kifikira, yaani kutumia misimamo ya mtu mwingine balada ya kutumia experience na utashi kufikia conclusion binafsi. Sasa kwa nini Mhe. Rais Mama Samia ashinikizwe asiwe anatengeneza conclusion kutokana na utashi na experience yake mwenyewe? Hiyo sio fair kabisa

Hitimisho;

Tumpeni nafasi Mhe. Rais Mama Samia afanye vitu kulingana na dhamira, experience na utashi wake. Afikie conclusion zake yeye kama yeye maadam havunji katiba, sheria au kudhulumu mtu. Huo ndio uungwana.

Mungu alimuweka Hayati Magufuli ili afanye aliyoyafanya na yatokee yaliyotokea kwa sababu maalum. Kadhalika, Mungu kamuweka Mama Samia kuwa Rais ili atimize 'role' fulani muhimu kulingana na mipango ya Mungu. Ni vizuri akapewa nafasi ili atimize 'role' hiyo, badala ya kumshinikizwa ageuke kuwa copy ya mtu mwingine. Huo ndio uungwana.

Katika kipindi cha uongozi wake, atahukumiwa kwa atakayoyafanya yeye kama yeye, ataacha legacy kwa yale atakayoyafanya yeye, na mbele ya Mwenyezi Mungu ataulizwa yeye kama yeye kuwa alichunga nini hapa duniani wakati wa uongozi wake.

Tuweni waungwana, tusimpotoshe Mama. Mama ni mtu mzima, mwerevu na muungwana. Aachwe awe yeye kama yeye maadamu havunji Katiba,sheria wala kudhulumu mtu.


Ramadhan Njema.
It won't be possible for those wanting to see it happen.
It's just a beginning; as time goes they are going to be caught in a supprise.
They should realize and accept the fact that that ERA has gone and it's never ever comin' back; we're in a new beginning hence they should learn to dance to the current tuning.
 
Mods nisaidie kurekebisha tittle. Afikiri = afikiri

Kwenye utawala wa Magufuli aliingiza watu wengi kwenye utawala kwa njia mbaya hasa kwenye chaguzi zetu. Hilo kundi linaloshinikiza huyo mama afanye kama Magufuli, ni ili atumie mbinu zilezile chafu ambazo wanajua ndio salama ya madaraka yao. Wanajua fika akiacha ushindani halisi nafasi zao zitapotea, na iwapo hilo litatokea ni aibu kwao.
 
Huyu mama alichokosea ni kumbakisha Kasimu Majaliwa

Huyo mama akitaka aachane ni hilo kundi linalomshinikiza afauate ya Magufuli, ni kuruhusu tu ile ripoti ya BoT ya CAG ya Jan-March isomwe, hapo kila tofali litakaa vizuri.
 
Nashukuru Mungu kwamba angalau Tanzania ya hoja kwa hoja inarejea taratibu.

Kumeibuka kundi la watu linaloshinikiza Mhe. Rais Mama Samia afikiri kama Hayati magufuli. Haieleweki vyema kwa nini wanafikiri hivyo ila kimsingi sio fair kabisa.

1. Mzee Mwinyi hakufikiri kama Nyerere, Mzee Mkapa Hakufikiri kama Mwinyi, Mzee wetu Kikwete hakutumia akili ya Mkapa, Hayati Magufuli hakutumia akili ya Mzee Kikwete, sasa kwa nini tufikiri Mhe. Rais Mama Samia anatakiwa kufikiri kama Magufuli? Sio fair kabisa yani.

2. Kila mtu huzaliwa na uwezo wake wa kipekee na 'purpose' maalum kwenye hii dunia. Kwa lugha nyingine, Mungu kamleta kila mtu kwenye dunia hii ili kutimiza jukumu fulani na amempa uwezo unaomuwezesha kutimiza jukumu husika. Ndio maana tunatofautiana busara, hekima, uvumilivu, uungwana roho nzuri na mbaya e.tc. Hivyo kutaka Mh. Rais Mama Samia afikiri kama Magufuli sio fair Kabisa!

3. Kila mtu huzaliwa 'original'. Hivyo ili mtu aache 'legacy' ni lazima abaki kuwa 'original' wakati wote. Kutaka Mhe.Rais Mama Samia afikiri kama Hayati Magufuli, ni kutaka kushinikiza asiwe 'original ' na hiyo sio fair kabisa.

4. Moja ya kitu kibaya sana duniani ni utumwa. Na utumwa mbaya zaidi ni wa kifikira, yaani kutumia misimamo ya mtu mwingine balada ya kutumia experience na utashi kufikia conclusion binafsi. Sasa kwa nini Mhe. Rais Mama Samia ashinikizwe asiwe anatengeneza conclusion kutokana na utashi na experience yake mwenyewe? Hiyo sio fair kabisa

Hitimisho;

Tumpeni nafasi Mhe. Rais Mama Samia afanye vitu kulingana na dhamira, experience na utashi wake. Afikie conclusion zake yeye kama yeye maadam havunji katiba, sheria au kudhulumu mtu. Huo ndio uungwana.

Mungu alimuweka Hayati Magufuli ili afanye aliyoyafanya na yatokee yaliyotokea kwa sababu maalum. Kadhalika, Mungu kamuweka Mama Samia kuwa Rais ili atimize 'role' fulani muhimu kulingana na mipango ya Mungu. Ni vizuri akapewa nafasi ili atimize 'role' hiyo, badala ya kumshinikizwa ageuke kuwa copy ya mtu mwingine. Huo ndio uungwana.

Katika kipindi cha uongozi wake, atahukumiwa kwa atakayoyafanya yeye kama yeye, ataacha legacy kwa yale atakayoyafanya yeye, na mbele ya Mwenyezi Mungu ataulizwa yeye kama yeye kuwa alichunga nini hapa duniani wakati wa uongozi wake.

Tuweni waungwana, tusimpotoshe Mama. Mama ni mtu mzima, mwerevu na muungwana. Aachwe awe yeye kama yeye maadamu havunji Katiba,sheria wala kudhulumu mtu.


Ramadhan Njema.
Mama alishakosea kwa kusema kuwa yeye na JPM ni kitu kimoja, hivyo msilalamike akitakiwa kujibu tuhuma na madhambi ya JPM.
 
Back
Top Bottom