MKUYENGE
JF-Expert Member
- Jun 26, 2019
- 4,107
- 4,604
Mm kwa upande wangu kusikiliza taarabu sikutofautishi na yafuatayo.BabaMorgan umeamua kututukana mchana kweupe wanaume wote, binafsi nimefedheheka sana
1.kumiliki silaha ya moto bila kibali
2.kufadhili vikundi vya ugaidi.
3.kuuza silaha kwa magaidi
4.kuwafundisha mafunzo yakijeshi wahalifu wa Green guard
5.kujiuza balabala kwa machangudoa na mashoga
Ukisikiliza taarabu mwanaume nakuweka makundi hayo