kwani kuelezea fikra lazima utumwe? hivi tunajenga jamii ya aina gani?? kila mtu ana uhuru wa kutoa mawazo yake sasa linakujaje suala la kutumwa??? hao mnaowatetea wamewatuma?? mkuu unanitisha kwa swali lako inaonesha huko uhuru wa mawazo ni usaliti tujipange jamani.
Huyo jamaa anashangaza sana. Anafikiri na migogoro ya CDM nayo inaweza kutetewa kwenye mitandao kama ambavyo wamekuwa wakifanya kwenye mambo mengine kama kashfa za udini, ukabila masuala binfasi ya viongozi wao. Hivi ni vitu ambavyo ni tangible(vinaonekana machoni pa watu) lazima vijadiliwe tena kwa kina na hasa pale ambapo vyama hivi vinapojifanya kuwa safi wakati usafi wavyo unajificha kwenye kivuli cha kutoshika hatamu.