jkipaji
JF-Expert Member
- Sep 22, 2019
- 5,675
- 7,531
Hongera sana kwa Jeshi la Police! Malimbukeni wote wanyangwe hizo silahaa, silahaa inatakiwa apewe Mtu anaejitambuwa ambae anaweza hata kutumia silahaa yake kuokoa au kusaidia Jamii na hiyo silahaa yake badala ya kutishia watu hadi kufikia kutowana uhai kisa unamiliki Beretta!!