kata ya sinza leo mabango ya kutangaza maeneo ya wazi yamewekwa barabara ya lion sinza kwa mjibu wa diwani wa sinza renatus pamba CDM amesema kuwa wataweka mabango maeneo yawazi yaliyovamiwa yasiyopungua mia moja na amewataka watu wote waliovamia waanze kuondoka maeneo ya wazi