Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mkuu ni zote unapata...ukizingatia kuwa kimeshatumika before!mkuu hebu nitajie hiyo guest yenye chumba cha buku 5 cha self contained
watu wanachoka kula vya nyumbani wanatamani kula vya huko porini
ni lazima vyumba vijae.
Kigogo kila baada ya nyumba kuna mganga wa kienyeji
Ukiangalia kwenye kitabu cha wageni utakuta kutoka Tegeta kwenda Temeke au kutoka Kinondoni kwenda Chang'ombe au kutoka Temeke kwenda Keko mtu anajipumnzisha
Single ni buku 3
hiyo ndo ya bei ya juu mkuu
Hivi Chumba kikiwa Self Contained unakuta Pakiti ngapi za Condom?
au ndo mnapenda kuoga kuliko kinga
Pia umesahau na kila karibu na bar kuna guesthouse iwe ni rasmi au iwe sio rasmi(guest house bubu)na katika kila guesthouse kuna malaya si chini ya watano wamepanga vyumba na hao malaya wana marafiki zao malaya pia si chini ya watatu wamekaribishwa kwenye hizo rooms,na baada ya hao malaya ndio yale mambo ya MEGAWATI hiyo ndio Sinza ,iko wazi saa 24.Sinza imenifanya nifikirie kufungua biashara ambayo nitakuwa sifungi ,itakuwa ina operate 24 hrs, hakuna kulala ndio maanakeLakini vile unavyokuta bar zimejaa sinza ndo hivyo unakuta guest zimejaa keko.tuseme keko kuna wasafiri sana kuliko ubungo?ukila unapopita usiku unakuta ubao umegeuzwa eti "vyumba vimejaa".mimi naona watu waendelee kuwekeza kwenye guest.kwasababu hii hali inaboa sana.hebu fikilia mtu umechoka unakosa sehemu ya kupumzika.sio ishu.mia
huku kwetu kila baada ya nyumba pana ATM
kuna mtaa upo Manzese kila baada ya nyumba kuna Guest House.
kigogo kila baada ya nyumba kuna mganga wa kienyeji
khaaaa na maendeleo huko ni ndoto
mia,miaLakini vile unavyokuta bar zimejaa sinza ndo hivyo unakuta guest zimejaa keko.tuseme keko kuna wasafiri sana kuliko ubungo?ukila unapopita usiku unakuta ubao umegeuzwa eti "vyumba vimejaa".mimi naona watu waendelee kuwekeza kwenye guest.kwasababu hii hali inaboa sana.hebu fikilia mtu umechoka unakosa sehemu ya kupumzika.sio ishu.mia