figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,474
- 54,801
Lakini vile unavyokuta bar zimejaa sinza ndo hivyo unakuta guest zimejaa keko.tuseme keko kuna wasafiri sana kuliko ubungo?ukila unapopita usiku unakuta ubao umegeuzwa eti "vyumba vimejaa".mimi naona watu waendelee kuwekeza kwenye guest.kwasababu hii hali inaboa sana.hebu fikilia mtu umechoka unakosa sehemu ya kupumzika.sio ishu.mia