mpinga shetani
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 3,236
- 954
Kwa wanaodhani wale wadada (plus plus) wamejikita sinza tu basi watembelee mtaa wa sikukuu kariakoo hasa pale palace hotel ni wnegi kama nzige sijui kwa nini uongozi wa hotel hauchukui hatua yeyote maana wana tabia ya kuwaganda wageni kama luba.
Pia mara nyingi hutwangana makonde wao kwa wao. Utashangaa kuna hata wasiojua kiswahili kabisa wakitokea congo au burundi . Gharama ni kati ya 5000 hadi 30,000 depending on bargaining power of the buyer.
Pia mara nyingi hutwangana makonde wao kwa wao. Utashangaa kuna hata wasiojua kiswahili kabisa wakitokea congo au burundi . Gharama ni kati ya 5000 hadi 30,000 depending on bargaining power of the buyer.