Sinza cha mtoto! Mnaijua palace hotel ya Kariakoo?

mpinga shetani

JF-Expert Member
Nov 22, 2010
3,237
954
Kwa wanaodhani wale wadada (plus plus) wamejikita sinza tu basi watembelee mtaa wa sikukuu kariakoo hasa pale palace hotel ni wnegi kama nzige sijui kwa nini uongozi wa hotel hauchukui hatua yeyote maana wana tabia ya kuwaganda wageni kama luba.

Pia mara nyingi hutwangana makonde wao kwa wao. Utashangaa kuna hata wasiojua kiswahili kabisa wakitokea congo au burundi . Gharama ni kati ya 5000 hadi 30,000 depending on bargaining power of the buyer.
 
Kwa wanaodhani wale wadada (plus plus) wamejikita sinza tu basi watembelee mtaa wa sikukuu kariakoo hasa pale palace hotel ni wnegi kama nzige sijui kwa nini uongozi wa hotel hauchukui hatua yeyote maana wana tabia ya kuwaganda wageni kama luba.

Pia mara nyingi hutwangana makonde wao kwa wao. Utashangaa kuna hata wasiojua kiswahili kabisa wakitokea congo au burundi . Gharama ni kati ya 5000 hadi 30,000 depending on bargaining power of the buyer.

You might be a buyer? How did you know it? Pole sana kaka.
 
Ndugu yangu Katavi.
Hii biashara inalipa harafu haitaji mtaji wowote ni bidii yako tu ni ngumu kuizuia
Ni kweli 'inalipa', kama mtu analipwa 30k kwa mara moja na anaweza kwenda na wanaume watatu kwa usiku mmoja, ni kipato cha 90k per night. Kwa mwezi, say anafanya 'kazi' siku nne kwa wiki anaweza kukusanya mpaka 1.440m....hii ni zaidi ya take home ya asst lecturer wa public university!
 
6 Reactions
Reply
Back
Top Bottom