TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 24,873
- 11,253
katumwa huyo dogo... si unajua tena akina mahimbo wako wengi tu, kila mmoja kwa namna yake!!Watanzania wengi sana hawana elimu ya uraia,
Pole sana Mokoyo,kweli umeonyesha hisia zako za moyoni,ni kweli kwa Tanzania kama si wendawazimu huwezi kuishi kwa hali iliyopo.Mfanyakazi analipwa 135,000/= kama kima cha chini na bado anakula maisha sawa na mkurugenzi wa shirika binafsi au lecturer pale chuo kikuu.Kwenye Grocery(sitting room)zinajaa wakati wote jioni,sasa utajiuliza wanapata wapi pesa.na watoto wanaenda shule za Academy,
Anajitokeza mpiganaji anayechukia umaskini huu anaitwa majina lukuki ya kifedhuli na watanzania wanakubali na kuamini na wengine kuahirisha kupiga kura kama ndugu yangu Mokoyo.
Mpambanaji yeyote vitani lazma awe mstari wa mbele kupambana mpaka siku ya mwisho bila kutetemeka,ukizidiwa bora ujiue kama Chifu Mkwawa kule Iringa.Sishauri watu wajiue bali wapambane kiume hata wakishindwa washindwe kiakili si kijingajinga au kijanjajanda.
Kupiga kura ni HIARI na si LAZIMA
Huu ni mtizamo wangu Mokoyo na WanaJamii Tanzania,
Hongera kwa JAMIIFORUM,Inapatikana kote ulimwenguni.CONGRATS
Kura zitapigwa na zitalindwa na tutakua tumetumia haki ya msingi!!! charity begins at home