Shakira,Issa Matona,Bi Kidude,Dr. Remmy Ongala,Marijani Rajabu, Mbaraka Mwinshehe Mwaruka,n.k.
Sauti zao,jumbe zao,busara zao na maono yao bado yanaishi na yataendelea kuishi.
Taarabu ya zamani ilikua nzuri sana na has a ujumbe uliopo,lugha inayotumika pamoja na beat ya vyombo vya asili.ukisikiliza inakufanya utafakari kwa utulivu sana moyoni sio hizi za sasa sijui mwanamke mkorofi mchukulie mumewe sijui ndo inafunza nini.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.