Sintofahamu ya Lowassa na kurudi CCM

kiraremapojoni

JF-Expert Member
Nov 30, 2018
391
512
Nilistushwa sana na uamuzi wa Ndugu yete E N Lowassa juu ya mauzi yake ya kikatiba ya kurejea kwenye chama chake pendwa cha CCM. Inawezekana ikawa ni maamuzi yake binafsi kama ambavyo anazungumza au pengine kuna ambayo yako nyuma ya pazia yaliyojificha ambayo ndiyo hasa yamempa msukumo mpaka kuchukua hatua hii ya kufunuka kombe ili mwanaharamu apite.

Inafahamika fika kuwa mkwe wake Bwana Lowasa ambaye ni Ndugu Sioi yuko jela kwa muda mrefu sasa na hatima ya kesi yao haijulikani kwani inazungumzika kama utashi wa mkwe wake inawezekana ikawa ni fimbo ya kuadhibiwa ili aongee na mkewe amshauri baba yake arudi kundini ili akazikane na wafu wenziwe wa CCM.

dhamana ya kina Mbowe na Esther MAtiko ilikuwa mikononi mwa Lowasa na mara baada ya kuamua kurudi kundini imetokea sintofahamu ya Jaji Rumanyika kushangaa maamuzi ya hakimu wa Kisutu juu ya kufuta dhamana na kuwaweka jela kwa kipindi chote hiki.

Sasa Lowasa amesharudi kundini na wale ambao walibambikiwa makosa ya kuhujumu uchumi nna hakika nao watapewa dhamana kama ambavyo alipewa ndugu yake rostam Azizi mara baada ya kwenda ikulu na kuongea na mkuu pamoja na kumpokea Bwana lowasa ndani ya chama siku aliyoamua kurudi kundini

Tanzania ya viwanda kwa stahili hii bado sana kwani hakuna fedha ya dhuluma iliyo na baraka kwa ajili ya kuendeleza vitu vya maendeleo
 
Unganisha dots kufungwa kwa Mbowe na Lowasa kurudi ccm ni conspiracy. Ilikuwa lzm Mbowe awe ndani kwa mantiki ya kuhofia ushawishi wa kumzuia Mzee asirudi ccm, kumbuka ccm inawahitaji sana Lowasa na rostam kama kiunganishi cha wafanyabiashara hasa baada ya mahusiano kutokuwa Mazuri,pia kuzima nguvu ya Membe chamani kumbuka ccm iko vipande vipande japo wako wamoja kinafiki subiria mwakani kipenga kitakapolia.Kwa Africa dhana ya uhujumu uchumi imetumika kama njia ya kupigia pesa za wahasimu wao unawekwa ndani siku zisizojulikana unajiongeza unakamuliwa pesa mingi sana baada ya mda dhamana kesi danadana mambo yanaisha,ukiwa mbishi ndo unaozea huko ili hata ukitoka nje biashara zako zote ziwe zimefilisika kabisa hii iko Africa nzima ya weusi,thus kuna msemo usemao kwa Africa jela ni kwa ajili ya masikini ukimuona tajiri jela kakosana na watawala, au ni bahili.Africa jela utumika kama sehemu ya kuwakomoa wahasimu wetu kimadaraka.Thus utasikia weka ndani,huyu akae ndani ni kauli za wanasiasa pale wanaposhindwa kujibu hoja.
 
Unganisha dots kufungwa kwa Mbowe na Lowasa kurudi ccm ni conspiracy. Ilikuwa lzm Mbowe awe ndani kwa mantiki ya kuhofia ushawishi wa kumzuia Mzee asirudi ccm, kumbuka ccm inawahitaji sana Lowasa na rostam kama kiunganishi cha wafanyabiashara hasa baada ya mahusiano kutokuwa Mazuri,pia kuzima nguvu ya Membe chamani kumbuka ccm iko vipande vipande japo wako wamoja kinafiki subiria mwakani kipenga kitakapolia.Kwa Africa dhana ya uhujumu uchumi imetumika kama njia ya kupigia pesa za wahasimu wao unawekwa ndani siku zisizojulikana unajiongeza unakamuliwa pesa mingi sana baada ya mda dhamana kesi danadana mambo yanaisha,ukiwa mbishi ndo unaozea huko ili hata ukitoka nje biashara zako zote ziwe zimefilisika kabisa hii iko Africa nzima ya weusi,thus kuna msemo usemao kwa Africa jela ni kwa ajili ya masikini ukimuona tajiri jela kakosana na watawala, au ni bahili.Africa jela utumika kama sehemu ya kuwakomoa wahasimu wetu kimadaraka.Thus utasikia weka ndani,huyu akae ndani ni kauli za wanasiasa pale wanaposhindwa kujibu hoja.
Mkuu umeongea ukweli mtupu
 
Nilistushwa sana na uamuzi wa Ndugu yete E N Lowassa juu ya mauzi yake ya kikatiba ya kurejea kwenye chama chake pendwa cha CCM. Inawezekana ikawa ni maamuzi yake binafsi kama ambavyo anazungumza au pengine kuna ambayo yako nyuma ya pazia yaliyojificha ambayo ndiyo hasa yamempa msukumo mpaka kuchukua hatua hii ya kufunuka kombe ili mwanaharamu apite.

Inafahamika fika kuwa mkwe wake Bwana Lowasa ambaye ni Ndugu Sioi yuko jela kwa muda mrefu sasa na hatima ya kesi yao haijulikani kwani inazungumzika kama utashi wa mkwe wake inawezekana ikawa ni fimbo ya kuadhibiwa ili aongee na mkewe amshauri baba yake arudi kundini ili akazikane na wafu wenziwe wa CCM.

dhamana ya kina Mbowe na Esther MAtiko ilikuwa mikononi mwa Lowasa na mara baada ya kuamua kurudi kundini imetokea sintofahamu ya Jaji Rumanyika kushangaa maamuzi ya hakimu wa Kisutu juu ya kufuta dhamana na kuwaweka jela kwa kipindi chote hiki.

Sasa Lowasa amesharudi kundini na wale ambao walibambikiwa makosa ya kuhujumu uchumi nna hakika nao watapewa dhamana kama ambavyo alipewa ndugu yake rostam Azizi mara baada ya kwenda ikulu na kuongea na mkuu pamoja na kumpokea Bwana lowasa ndani ya chama siku aliyoamua kurudi kundini

Tanzania ya viwanda kwa stahili hii bado sana kwani hakuna fedha ya dhuluma iliyo na baraka kwa ajili ya kuendeleza vitu vya maendeleo
Nani aliyedbulumiwa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilistushwa sana na uamuzi wa Ndugu yete E N Lowassa juu ya mauzi yake ya kikatiba ya kurejea kwenye chama chake pendwa cha CCM. Inawezekana ikawa ni maamuzi yake binafsi kama ambavyo anazungumza au pengine kuna ambayo yako nyuma ya pazia yaliyojificha ambayo ndiyo hasa yamempa msukumo mpaka kuchukua hatua hii ya kufunuka kombe ili mwanaharamu apite.

Inafahamika fika kuwa mkwe wake Bwana Lowasa ambaye ni Ndugu Sioi yuko jela kwa muda mrefu sasa na hatima ya kesi yao haijulikani kwani inazungumzika kama utashi wa mkwe wake inawezekana ikawa ni fimbo ya kuadhibiwa ili aongee na mkewe amshauri baba yake arudi kundini ili akazikane na wafu wenziwe wa CCM.

dhamana ya kina Mbowe na Esther MAtiko ilikuwa mikononi mwa Lowasa na mara baada ya kuamua kurudi kundini imetokea sintofahamu ya Jaji Rumanyika kushangaa maamuzi ya hakimu wa Kisutu juu ya kufuta dhamana na kuwaweka jela kwa kipindi chote hiki.

Sasa Lowasa amesharudi kundini na wale ambao walibambikiwa makosa ya kuhujumu uchumi nna hakika nao watapewa dhamana kama ambavyo alipewa ndugu yake rostam Azizi mara baada ya kwenda ikulu na kuongea na mkuu pamoja na kumpokea Bwana lowasa ndani ya chama siku aliyoamua kurudi kundini

Tanzania ya viwanda kwa stahili hii bado sana kwani hakuna fedha ya dhuluma iliyo na baraka kwa ajili ya kuendeleza vitu vya maendeleo
Paragraph ya mwisho ungeiacha, maana dhulma ya wazungu wakati wa ukoloni na sasa kwa watawaliwa ndio iliyo waweka walipo na baadae kimaendeleo. Mengine nimekuelewa
 
Back
Top Bottom