Sintah alikwama sana kwa Juma Nature

Hii ya kupigwa denda mpaka gari kugoma kwenda kuna msanii mmoja anahusika sasa ni marehemu.
Alikufa kwa ajali ya gari mitaa ya kati ya Morocco na Mwenge( hapo kati).

Huyo Sinta aliwahi kuwa video vixen kwenye wimbo wa huyo msanii, jina la wimbo lilikua linaitwa MPENZI,

Hii video ndio ilileta mapinduzi katika video zilizohusisha na video vixen kucheza nusu utupu bongo, narudia tena hii ndio video ya kwanza bongo ambayo ingebidi ifungiwe na basata kama ingekua ni leo, maana kwa kipindi kile ilikua ni video iliyokua na matendo ya wazi sana.

Wasanii na madirector wa bongo ndio wakaanza kufanya zao baada ya hiyo.

Huyo msanii(marehemu) alikua mwenyeji wa mikoa ya kanda ya ziwa ambae alikua anaishi nje ya nchi( SWEDEN Kama sijakosea).

Ndio moja ya wasanii wa kwanza kwanza kutoboa akiwa sambamba na kina SUGU.


Sent from my iPhone using JamiiForums
Aliitwa Cool James Mtoto wa Dandu alifariki kwa ajali ya gari opposite na Millennium Tower
 
Umenikumbusha mbali kiongozi, kuliwahi kuwa na mwanamke mkali kichizi pia enzi hizo, Nina nadhani alipotelea wapi huyu mrembo, nisamehe kiongozi kwa kwenda nje ya mada!
Nina was kaole aisee alkuwa kisu balaa
 
Hii ya kupigwa denda mpaka gari kugoma kwenda kuna msanii mmoja anahusika sasa ni marehemu.
Alikufa kwa ajali ya gari mitaa ya kati ya Morocco na Mwenge( hapo kati).

Huyo Sinta aliwahi kuwa video vixen kwenye wimbo wa huyo msanii, jina la wimbo lilikua linaitwa MPENZI,

Hii video ndio ilileta mapinduzi katika video zilizohusisha na video vixen kucheza nusu utupu bongo, narudia tena hii ndio video ya kwanza bongo ambayo ingebidi ifungiwe na basata kama ingekua ni leo, maana kwa kipindi kile ilikua ni video iliyokua na matendo ya wazi sana.

Wasanii na madirector wa bongo ndio wakaanza kufanya zao baada ya hiyo.

Huyo msanii(marehemu) alikua mwenyeji wa mikoa ya kanda ya ziwa ambae alikua anaishi nje ya nchi( SWEDEN Kama sijakosea).

Ndio moja ya wasanii wa kwanza kwanza kutoboa akiwa sambamba na kina SUGU.


Sent from my iPhone using JamiiForums
Cool James huyo maarufu kama Mtoto wa Dandu. Video ilikuwa bomba sana ile. Mahaba kama yote na Sintah.

Halafu Sintah alimdaka mchizi juu kwa juu.. Enzi hizo kuna wadada wa mjini tena wengine walitajwa na Mwana FA kwenye 'Mabinti' ambao wao walikuwa wakivizia ma-don wakitua Bongo tu wanajilengesha mahotelini huko. Enzi za ujip wa akina Sean Paul, Shaggy na vipusa kibao tu. Acha kabisa!

Michezo hiyo imefanywa sana na dada zangu Mboni Mhita wa The Mboni Show, Rashida Wanjara, Mange Kimambi, Jestina George, Shamimu na wengine siwataji hapa maana wana heshima zao hivi sasa wameshaolewa.

Bydway, jamaa (Cool J) alifanya mapinduzi makubwa sana ya muziki wa Bongo akiwa behind the scenes. Aliishi mbele Ila aliwekeza sana akili yake hapa Bongo. Wahuni wa Bamaga wakamfanyizia na kumfuta kabisa kwenye uso wa dunia mamaee...

Ameacha legacy moja tu nayo ishaelekea kuzimu. Kili Music Awards!

Nimechoka kuandika.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cool James huyo maarufu kama Mtoto wa Dandu. Video ilikuwa bomba sana ile. Mahaba kama yote na Sintah.

Halafu Sintah alimdaka mchizi juu kwa juu.. Enzi hizo kuna wadada wa mjini tena wengine walitajwa na Mwana FA kwenye 'Mabinti' ambao wao walikuwa wakivizia ma-don wakitua Bongo tu wanajilengesha mahotelini huko. Enzi za ujip wa akina Sean Paul, Shaggy na vipusa kibao tu. Acha kabisa!

Michezo hiyo imefanywa sana na dada zangu Mboni Mhita wa The Mboni Show, Rashida Wanjara, Mange Kimambi, Jestina George, Shamimu na wengine siwataji hapa maana wana heshima zao hivi sasa wameshaolewa.

Bydway, jamaa (Cool J) alifanya mapinduzi makubwa sana ya muziki wa Bongo akiwa behind the scenes. Aliishi mbele Ila aliwekeza sana akili yake hapa Bongo. Wahuni wa Bamaga wakamfanyizia na kumfuta kabisa kwenye uso wa dunia mamaee...

Ameacha legacy moja tu nayo ishaelekea kuzimu. Kili Music Awards!

Nimechoka kuandika.

Sent using Jamii Forums mobile app

CJ alikua ni mtu muhimu sana katika maendeleo ya muziki wetu.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Sinta
Nora
Nina

Aisee nilikuwa nawapigia nyeto.
Hasa Nora yani alifanya niwe namchukua Dr Cheni, vile wakiigiza kama mpenzi wake alafu mara aigize analiwa na yule dogo jina limenitoka alikuja kuwa mtangazaji wa ITV badae.

Time flies saizi sio mastaa tena. Enzi hizo insta zetu ilikuwa ni kiu, ijumaa, sun ha ha ha

Dumelang
dogo biko....iddy ligongo
 
Weeee....siku hizi ana mishe gani?

Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu Norah alishindwa kusoma upepo, alipata mume akamuoa kabisa kwa ndoa akawa house wife, alivyoona amesahaulika akalianzisha kwa mume, mume akamwambia achague kuigiza au ndoa akachagua kuigiza akalamba talaka akarudi mtaani, akakuta tasnia imevamiwa na ma miss..kina sepetu uwoya na wengine..akabaki na muvi zake zikakosa mashiko basi tena yupo yupo tu.
 
Hii ya kupigwa denda mpaka gari kugoma kwenda kuna msanii mmoja anahusika sasa ni marehemu.
Alikufa kwa ajali ya gari mitaa ya kati ya Morocco na Mwenge( hapo kati).

Huyo Sinta aliwahi kuwa video vixen kwenye wimbo wa huyo msanii, jina la wimbo lilikua linaitwa MPENZI,

Hii video ndio ilileta mapinduzi katika video zilizohusisha na video vixen kucheza nusu utupu bongo, narudia tena hii ndio video ya kwanza bongo ambayo ingebidi ifungiwe na basata kama ingekua ni leo, maana kwa kipindi kile ilikua ni video iliyokua na matendo ya wazi sana.

Wasanii na madirector wa bongo ndio wakaanza kufanya zao baada ya hiyo.

Huyo msanii(marehemu) alikua mwenyeji wa mikoa ya kanda ya ziwa ambae alikua anaishi nje ya nchi( SWEDEN Kama sijakosea).

Ndio moja ya wasanii wa kwanza kwanza kutoboa akiwa sambamba na kina SUGU.


Sent from my iPhone using JamiiForums
Mtoto wa Dandu, ndie alianzisha tuzo za kilimanjaro music Award..
 
SINTA
sintah.jpeg
 

Attachments

  • IMG_3519.JPG
    IMG_3519.JPG
    7.4 KB · Views: 45
  • IMG_3519.JPG
    IMG_3519.JPG
    7.4 KB · Views: 56
Back
Top Bottom