Sintah alikwama sana kwa Juma Nature

CHORUS

Yaani shwari hamna shari
Mi na mabinti damdam, kweli kweli
Sababu zipo wazi mwenye macho aone enhh!

Kuna kifua kama cha zay B
Kiuno kama cha Ray C na pozi Jay D na sauti kama Fina
Au labda ya aunt Ndina ipo njema matabasamu
Kama binti Maumba wa kino Msio nidhamu
Mtafanywa mpende ngono Hold on!
Kuna pozi za kimtoni kama Tausi Likokola
Unataka ni full bakora mabinti wangali wanang’ara
Warefu warembo kama twiga mithili ya Happy Magese
Midomo kama ya Shose
Utapenda uonekane yaani viwanjani ututese
Au binti maarufu utasema Aina anatosha?
Kama nnataka mwanya nafahamu wapi ntaupata
Mwite Aminata wa keita
Binti wa vigogo unamtafuta Mboni Mhita?
Mwili utakaokufanya upende love kama wa Mercy
Na macho yanayovuta kama ya Miriam wa Ikoa
Unaweza utangaze ndoa
Wengine mziki kama Shanice
Au kama connie stephans
Naiota rangi ya Caroline na lugha tanu kama ya Seven
Najua mnawaita masister Du! bendera hewani
Sometimes wavute widdy Mentally japo wazuri
Mithili ya Kibibi
Miondoko kama Faudhia
Au ungependa kithethe mithili ya Radhia
Watoto wa shule wassiwafanye mpagawe
Ilhali kuna wenye haiba kama Halima Bandawe
Mi kwa mabinti -nisahauliwe

CHORUS

Yaani shwari hamna shari
Mi na mabinti damdam, kweli kweli
Sababu zipo wazi mwenye macho aone enhh!



Aiseee...!!!
 
1069172
 
Ila ITV imehusika sana kuwapa promo hawa warembo wakati ule..nakumbuka kaole Sanaa group imehusika sana kuwa brand wengi wao..watunzi na waongaji kama Chrissant Mhenga walihusika sana.
 
Sinta
Nora
Nina

Aisee nilikuwa nawapigia nyeto.
Hasa Nora yani alifanya niwe namchukua Dr Cheni, vile wakiigiza kama mpenzi wake alafu mara aigize analiwa na yule dogo jina limenitoka alikuja kuwa mtangazaji wa ITV badae.

Time flies saizi sio mastaa tena. Enzi hizo insta zetu ilikuwa ni kiu, ijumaa, sun ha ha ha

Dumelang

Huyo dogo aliekua anatangaza ITV anakwenda kwa jina la BICCO,

Dogo alikuja akatongoza kiukweli ila akatolewa za mbavuni, akanywa sumu.

Bicco ilibaki kidogo afe kisa penzi la NORA, ila leo nadhani hata akipewa bure hawezi kukubali.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Kwenye inaniuma sana anadai ilimuuma sana alivyoona Sinta akipigwa denda kwenye dirisha la gari mpaka gari ikagoma kwendaaaaaaaa.

Hii ya kupigwa denda mpaka gari kugoma kwenda kuna msanii mmoja anahusika sasa ni marehemu.
Alikufa kwa ajali ya gari mitaa ya kati ya Morocco na Mwenge( hapo kati).

Huyo Sinta aliwahi kuwa video vixen kwenye wimbo wa huyo msanii, jina la wimbo lilikua linaitwa MPENZI,

Hii video ndio ilileta mapinduzi katika video zilizohusisha na video vixen kucheza nusu utupu bongo, narudia tena hii ndio video ya kwanza bongo ambayo ingebidi ifungiwe na basata kama ingekua ni leo, maana kwa kipindi kile ilikua ni video iliyokua na matendo ya wazi sana.

Wasanii na madirector wa bongo ndio wakaanza kufanya zao baada ya hiyo.

Huyo msanii(marehemu) alikua mwenyeji wa mikoa ya kanda ya ziwa ambae alikua anaishi nje ya nchi( SWEDEN Kama sijakosea).

Ndio moja ya wasanii wa kwanza kwanza kutoboa akiwa sambamba na kina SUGU.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Ha ha haaaa enzi za Sinta na Nature aisee kitambo sana hiyo ni miaka ya 2001 . TV zilikuwa ni zile za visogo afu Ukiwa na ungo (satellite dish) kubwa la kutengenezwa mtaani na lina wavu flani nakuambia mnaoneka nyie ni matajiri Sana. Alafu computer zilikuwa desktop za visogo Pentium 2

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom