LIKUD
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 15,071
- 27,008
Mimi ni Mtanganyika but kamwe sitathubutu kufanya "Biashara" na Mtanganyika!. Kwanini? Kwa sababu WATANGANYIKA HAWAJUI HESABU! Kwao namba hazina maana yoyote! Mtu a siyejua umuhimu wa namba ni hatari sana katika ulimwengu wa biashara na faida.
KWANINI NINASEMA WATANGANYIKA HAWAJUI HESABU?
Here i come
1. Kwa mujibu wa sayansi na historia, mtu wa kwanza duniani aliishi katika nchi ya Tanganyika zaidi ya miaka BILIONI MBILI iliyopita. Hii ina maana kuwa ustaarabu wa mwanadamu ulianzia Tanganyika au kwa lugha nyingine, Ustaarabu wa MTANGANYIKA una MIAKA BILIONI MBILI.
Karne kadhaa zilizopita nchi yetu ilivamiwa na WAARABU na WAZUNGU ambao walikuja na ustaarabu wao na kuwalazimisha/kuwashawishi watanganyika kuufuata.
USTAARABU WA WAARABU ( UISLAMU ) UNA MIAKA 1500 tu tangu uanze kuwepo.
But Mtanganyika amekubali ku exchange ustaarabu wake wenye umri wa miaka BILIONI MBILI kwa ustaarabu wa kiarabu wenye umri wa miaka 1500!!!!
ITS ONLY A FOOL WHO WILL EXCHANGE HIS/HER 2 BILLION SHILLINGS with 1500 SHILLINGS.
USTAARABU WA WAZUNGU ( UKRISTO ) UNA MIAKA 2000 tu tangu uanze kuwepo.
But Mtanganyika amekubali ku exchange ustaarabu wake wenye umri wa miaka BILIONI MBILI kwa ustaarabu wa wazungu wenye umri wa miaka 2000!!!!
ITS ONLY A FOOL WHO WILL EXCHANGE HIS/HER 2 BILLION SHILLINGS with 2000 SHILLINGS.
2. KUHUSU KILE KINACHOITWA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR.
Watanganyika tupo MILIONI 43 na ushee , WAZANZIBARI wapo MILIONI 1 na ushee.
Halafu Watanganyika tunakubali kuunganisha taifa letu lenye watu MILIONI 43 na ushee na kisiwa chenye watu MILIONI MOJA ambao idadi yao ni ndogo kuliko idadi ya wakaazi wa mkoa mmoja uliopo katika taifa la Tanganyika!!!!
NI MFANYABIASHARA MPUMBAVU TU NDIO ANAYEWEZA KUUNGANISHA MTAJI WAKE WA SHILINGI MILIONI 43 NA MTAJI WA SHILINGI MILIIONI MOJA KUTOKA KWA MTU MWINGINE KISHA WAKAANZISHA BIASHARA MOJA WAKITEGEMEA KUPATA FAIDA SAWA SAWA.
3. Serikali ya CCM (TANU ) ipo madarakani tangu mwaka 1961. Imetusababishia matatizo mengi sana sisi watanganyika ( Do i need to talk about it ? Please excuse me! )
Lakini still bado kuna watu leo hii wanaishabikia CCM.
Ni mpumbavu tu anayeweza kukiunga mkono chama ambacho kimemfanya aendelee kuwa masikini kwa zaidi ya miaka hamsini ili kiendelee kumfanya awe masikini kwa miaka mingine zaidi.
RAI YANGU KWA WATANGANYIKA WENZANGU:
Tukatae Muungano wa serikali tatu, tuukatae Muungano. Tuidai nchi yetu ya Tanganyika, tuikatae CCM.
MUNGU IBARIKI TANGANYIKA.
KWANINI NINASEMA WATANGANYIKA HAWAJUI HESABU?
Here i come
1. Kwa mujibu wa sayansi na historia, mtu wa kwanza duniani aliishi katika nchi ya Tanganyika zaidi ya miaka BILIONI MBILI iliyopita. Hii ina maana kuwa ustaarabu wa mwanadamu ulianzia Tanganyika au kwa lugha nyingine, Ustaarabu wa MTANGANYIKA una MIAKA BILIONI MBILI.
Karne kadhaa zilizopita nchi yetu ilivamiwa na WAARABU na WAZUNGU ambao walikuja na ustaarabu wao na kuwalazimisha/kuwashawishi watanganyika kuufuata.
USTAARABU WA WAARABU ( UISLAMU ) UNA MIAKA 1500 tu tangu uanze kuwepo.
But Mtanganyika amekubali ku exchange ustaarabu wake wenye umri wa miaka BILIONI MBILI kwa ustaarabu wa kiarabu wenye umri wa miaka 1500!!!!
ITS ONLY A FOOL WHO WILL EXCHANGE HIS/HER 2 BILLION SHILLINGS with 1500 SHILLINGS.
USTAARABU WA WAZUNGU ( UKRISTO ) UNA MIAKA 2000 tu tangu uanze kuwepo.
But Mtanganyika amekubali ku exchange ustaarabu wake wenye umri wa miaka BILIONI MBILI kwa ustaarabu wa wazungu wenye umri wa miaka 2000!!!!
ITS ONLY A FOOL WHO WILL EXCHANGE HIS/HER 2 BILLION SHILLINGS with 2000 SHILLINGS.
2. KUHUSU KILE KINACHOITWA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR.
Watanganyika tupo MILIONI 43 na ushee , WAZANZIBARI wapo MILIONI 1 na ushee.
Halafu Watanganyika tunakubali kuunganisha taifa letu lenye watu MILIONI 43 na ushee na kisiwa chenye watu MILIONI MOJA ambao idadi yao ni ndogo kuliko idadi ya wakaazi wa mkoa mmoja uliopo katika taifa la Tanganyika!!!!
NI MFANYABIASHARA MPUMBAVU TU NDIO ANAYEWEZA KUUNGANISHA MTAJI WAKE WA SHILINGI MILIONI 43 NA MTAJI WA SHILINGI MILIIONI MOJA KUTOKA KWA MTU MWINGINE KISHA WAKAANZISHA BIASHARA MOJA WAKITEGEMEA KUPATA FAIDA SAWA SAWA.
3. Serikali ya CCM (TANU ) ipo madarakani tangu mwaka 1961. Imetusababishia matatizo mengi sana sisi watanganyika ( Do i need to talk about it ? Please excuse me! )
Lakini still bado kuna watu leo hii wanaishabikia CCM.
Ni mpumbavu tu anayeweza kukiunga mkono chama ambacho kimemfanya aendelee kuwa masikini kwa zaidi ya miaka hamsini ili kiendelee kumfanya awe masikini kwa miaka mingine zaidi.
RAI YANGU KWA WATANGANYIKA WENZANGU:
Tukatae Muungano wa serikali tatu, tuukatae Muungano. Tuidai nchi yetu ya Tanganyika, tuikatae CCM.
MUNGU IBARIKI TANGANYIKA.