PakaJimmy
JF-Expert Member
- Apr 29, 2009
- 16,203
- 8,724
Vp Jamani, huyu mwaJF anayetembea kwa jina la Sinkala alishajipatia jiko?
Maana tulitangaziwa humu jamvini juu ya harusi yake kwamba ingekuwa August hii... au alikatishwa tamaa na vitisho vya akina Fidel180!
Na je kama ilifanyika, wanaJF mnaoishi huko Darisalama mlihudhuria?
Maana tulitangaziwa humu jamvini juu ya harusi yake kwamba ingekuwa August hii... au alikatishwa tamaa na vitisho vya akina Fidel180!
Na je kama ilifanyika, wanaJF mnaoishi huko Darisalama mlihudhuria?