sifi leo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2012
- 5,013
- 8,369
Sinior Makamba alijua mwanae ana andaliwa kuwa Rais wa jamhuri, enzi za kikwete ikala kwake enzi za mwendazake.
Alipokufa Mzee magu baba akawa na Imani yakuwa January amerudi Tena,je January ulifurah magu alipokufa?
Sasa leo Makamba anajua yakuwa January amerudi kuwa Waziri kwa Samia kwa nguvu jakaya akajua ndoto ya urais ni ya kweli Sasa imeisha kula hiyo.
Alipokufa Mzee magu baba akawa na Imani yakuwa January amerudi Tena,je January ulifurah magu alipokufa?
Sasa leo Makamba anajua yakuwa January amerudi kuwa Waziri kwa Samia kwa nguvu jakaya akajua ndoto ya urais ni ya kweli Sasa imeisha kula hiyo.