Kipis
JF-Expert Member
- Jul 23, 2011
- 492
- 61
Nimesikitishwa sana jana na kauli ya tanesco kuhusu huu mgao wa umeme usiojulikana kikomo chake.
tanesco inawashangaa wananchi kwa kuwatupia wao lawama kuhusu mgao wa umeme,bila kujua nani anasitahili kutupiwa lawama hizo.
kwa mujibu wa maelezo ya tanesco kwa wananchi,wanadai eti wao kwa hili hawapaswi kulaumiwa badala yake pan africa ndio wanaositahili kulaumiwa kwa hili.7bu eti pan africa ndio wasambazaji wakuu wa gesi hivyo kiwango cha usambazaji kimepungua hivyo kupelekea kupungua kwa uzalishaji wa megawati kwa songas hali inayopelekea mgao kuongezeka badala ya kupungua kama walivyokuwa wameahidi.
hivyo wananchi tuache kuilaumu tanesco katika hili kwani wao hawahusiki. Habari hii ni kwa mujibu wa badra masoud.
tanesco inawashangaa wananchi kwa kuwatupia wao lawama kuhusu mgao wa umeme,bila kujua nani anasitahili kutupiwa lawama hizo.
kwa mujibu wa maelezo ya tanesco kwa wananchi,wanadai eti wao kwa hili hawapaswi kulaumiwa badala yake pan africa ndio wanaositahili kulaumiwa kwa hili.7bu eti pan africa ndio wasambazaji wakuu wa gesi hivyo kiwango cha usambazaji kimepungua hivyo kupelekea kupungua kwa uzalishaji wa megawati kwa songas hali inayopelekea mgao kuongezeka badala ya kupungua kama walivyokuwa wameahidi.
hivyo wananchi tuache kuilaumu tanesco katika hili kwani wao hawahusiki. Habari hii ni kwa mujibu wa badra masoud.