Tuacheni tuolewe jaman bahati hiziPamoja na yote lakini kuoa mwanamke ambaye ameshazalishwa inatakiwa Uwe jasiri sana!!....
Iko hivi
Wanaume tumeumbwa na kitu kinaitwa PRIDE....unapokuwa na mwanamke ambaye yuko kwenye himaya yako.....lakini kitendo cha wewe kujua kuwa huyu mwanamke alishalala na mwanaume mwengine mpaka kuzalishwa huku ukiwa unamuona mtoto....inakufanya ujione kama vile huna mamlaka kamili juu ya huyo mwanamke!!!.....
Ni kitu ambacho kitakutafuna mpaka unaingia kaburini......hii ni vita yako na nafsi yako.....ndio maana wazazi wengi na ndugu wa karibu huwa hawapendi kuona kijana wao wa kiume hasa ndoa yake ya kwanza akioa mwanamke ambaye tayari ana mtoto!!...wanajua baada ya mihemko na hisia za kimapenzi utakumbana na vita vikuu ndani ya nafsi yako!!!!....
Wanaume wengi wa ndoa za aina hii huwa wanaangukia kuwa walevi sana....au kuwa na wanawake wengi wa nje!!!!.....
Words is enough for the wise