Pamoja na yote lakini kuoa mwanamke ambaye ameshazalishwa inatakiwa Uwe jasiri sana!!....

Iko hivi

Wanaume tumeumbwa na kitu kinaitwa PRIDE....unapokuwa na mwanamke ambaye yuko kwenye himaya yako.....lakini kitendo cha wewe kujua kuwa huyu mwanamke alishalala na mwanaume mwengine mpaka kuzalishwa huku ukiwa unamuona mtoto....inakufanya ujione kama vile huna mamlaka kamili juu ya huyo mwanamke!!!.....

Ni kitu ambacho kitakutafuna mpaka unaingia kaburini......hii ni vita yako na nafsi yako.....ndio maana wazazi wengi na ndugu wa karibu huwa hawapendi kuona kijana wao wa kiume hasa ndoa yake ya kwanza akioa mwanamke ambaye tayari ana mtoto!!...wanajua baada ya mihemko na hisia za kimapenzi utakumbana na vita vikuu ndani ya nafsi yako!!!!....

Wanaume wengi wa ndoa za aina hii huwa wanaangukia kuwa walevi sana....au kuwa na wanawake wengi wa nje!!!!.....

Words is enough for the wise
Tuacheni tuolewe jaman bahati hizi
 
Sijui kwann huwa mnapenda kujifariji na hii kauli, unataka kusema ambaye amezaa maana yake hajawahi kutoa mimba??
Au mimba huwa inakuja mara moja tu?
Wanajifariji sana na kamsemo aka wengine wamefanya uchafu huo mwishowe wameona umri unakwenda bora tu wazae wapate mtoto.

Ww ukiamua kuzaa zaa tu maana mtoto ni baraka na kama upo tyr kwa majukumu ya kulea na ambao hawapo tyr wanatumia sindano, dawa na vitu vingine.

Mungu aliweka mzunguko wa hedhi kwa sababu ya kujua trh salama hivyo hata vitanzi ni chukizo. Acheni kujifariji.
 
Wakuu za siku nyingi aisee.....
Bhana kumekuwa na thread za kuwananga hawa masingle mother kwa tabia zao za kurudi kwa wanaume walio wazalisha wanasema kukumbushia enzi.......
Bhana mdogo wenu ndio nimejikuta nimezama huko napata mapenzi 24/7 sijutii kuwa na huyu mwanamke kama wengi wenu mnavo wazungumzia......

Naapa sijawahi enjoy mapenzi kama wakati huu sijawahi kuwa na gf mwenye real love kama huyu, sijawahi kuwa kwenye mahusiano na mwanamke anayejielewa na mwenye mawazo chanya kama huyu........

Sijawahi pata maendeleo kama niliyo nayo kwa huyu mwanamke (nimefungua biashara kwa ushauri wake)kabla ya hapo pesa angu sikujua inapoendaa nilijua na mikosi plus gundu kumbe nilikuwa sijapata mtu sahihi kwenye mahusiano.

Kusema ukweli sijawahi enjoy ngono kama wakati huu mtu wangu yupo so open sio kama vibinti vya chuo nadekezwa mie.....
Before nilikuwa najua papuchi kavu ndio nzuri lakini saivi napenda inayolowa
Huyu single mama papuchi yake inaloa hadi raha sipati tena michubuko kwenye dushe langu....
Naenjoy naona kabisa anavyofika kileleni sio zile fake organism za vibinti....

Hii iwaendee wote wanaowaponda single mothers... nyie mkiwaona wa nini kuna watu kama sie tunawahitaji...
Hahaa..sawa
 
Wakuu nimekua niki date na single moms kadhaa mpaka sasa. Ni watamu balaa na mwanzoni atakunyenyekea na kuficha makucha, ila baada ya kuzoeana sasa vitimbi na mizinga inaanza kwa kasi ya ajabu

Wengi ni pasua kichwa, atataka kila kitu umfanyie, umpende yeye na mwanae bila kutambua wewe ni mdhamini wa ligi kuu tu na waweza jiengua any time.

Nisiwe mnafiki kwa hili papuchi zao ziko mukidee ila mizinga tu ndo inayonishinda. Naona nafilisika.

Wenzangu mnao date na hawa watu mnatumia mbinu gani za kivita kulinda penzi?
 
Kwenye njaa sio kweli,asilimia kubwa ya Single mother wana shughuli zao za kuwaingizia vipato.
 
Wote hufurahia uhusiano lakini eti mwanaume ndio pekee aingie gharama! Unyanyasaji wa kijinsia huu!
 
kwenye njaa sidhani maana wao ndio wana shida, sema nini
we jipigie, mizinga ikizidi kata waya, tafuta 'singo maza' ingine
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom