Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 82,111
- 158,967
Ndio, tena yananukaManii ni uchafu?
Ndio, tena yananukaManii ni uchafu?
Pole sana Miss inaonekana yaliyokukuta ni zaidi ya maandiko yako!wanaume ni wangese sana.hata mkipanga ubebe mimba itakimbia tu mimi naona usalama wa mwanamke ni kuwachukia hao mashetani na kuachwa kutombwa basi fanya kazi tafuta hela lipa bill zako uzinzi tupa kule wacha wafirane wenyewe
Mi naonaga hii battle ya single moms inakuzwa na jf.
Huko nje hali halisi haiko hivyo
What's good man....i see you are still living largeJF ni alternative universe.
Mambo mengi humu hukuzwa mno kuliko yalivyo kiuhalisia.
Thank you...JF ni alternative universe.
Mambo mengi humu hukuzwa mno kuliko yalivyo kiuhalisia.
Thank you...
Kumbe na wewe umegundua hilo.
Aloooooo!!!!wanaume ni wangese sana.hata mkipanga ubebe mimba itakimbia tu mimi naona usalama wa mwanamke ni kuwachukia hao mashetani na kuachwa kutombwa basi fanya kazi tafuta hela lipa bill zako uzinzi tupa kule wacha wafirane wenyewe
Hahahahaha....haya banaI knew that way before you knew how to put your pants on
Na hivi hamuwezi kukojoa nje, dawa yenu ni kuwanyima chiu tu. Mi sijawahi fanya haya makosa ila nawaonea huruma sana wadogo zangu. Kama mimba imetokea planned au unplanned shikeni majukumu, mnavyowalaumu nakuwasimanga wadada utadhani ulishindwa kupull out msyuuuuu.
What's good man....i see you are still living large
ishanitokea nilichoamua kulea mtoto kusomesha kwamoyo na kumjali ilano ndoa maana sikupanga nae wala hatukuwa tumeahidiana na sio mtoto mdogo kanizidi miezi kadhaa kiumri na mi ni 30 ...ntaoa mwingine mimi bado nareviewTuseme tu ukweli kuna wadada wengi au wamama siku hizi wanaamua kuzaa tu....hasa umri fulani ukifika na wengine wanaamua kuzaa kabla hata wa kuzaa nae hajatokea...
Sasa kimbembe kinaanza anaposhika mimba....au akishazaa na mtu ambae si ajabu hakuwa na mipango ya kuzaa na huyo mwanamke
Wadada wengine wanaamua kutumia mimba kulazimisha commitment au ndoa......Asipopata hiyo ndoa au hiyo commitment ni kumlaani huyo mwanaume na kutumia mimba au mtoto kama njia ya kumkomesha huyo mwanaume..
Siku hizi unakuta vilio vya wadada kuwa 'wanaume hivi na wanaume vile'
lakini ukweli sio wote walidanganywa wataolewa au waliahidiwa commitment
Wengine kupata mimba na kuzaa ilikuwa ni mipango yao binafsi..lakini wakishazaa wanaanza kubadili maneno...utasema waliahidiwa kweli kuolewa
au waliahidiwa matunzo ya mtoto in the first place kabla hawajashika mimba...
Ni busara kwa kila mwanaume kushiriki matunzo ya mimba inayomhusu
na matunzo ya mtoto wake......lakini wote tunajua busara sio kila mtu anayo
na wadada wanaojichukulia maamuzi binafsi ya kuzaa ni busara pia wakaacha kulialia.....kama vile maamuzi hayo yalikuwa ya watu wawili
na wengine husingizia kwa ndugu kuwa waliahidiwa ndoa...kumbe ni maamuzi yake binafsi kuzaa.......dunia imebadilika.... tupunguze lawama tukabili changamoto za maamuzi yetu...
Hakuna mtu aliyechagua kuwa single mom, it just happens na hakuna jinsi. Hawa single moms mimi nawaheshimu sana, they're stronger than us all, they are fighers, breadwinners kwa watoto wao, mara nyingi wanakuwa bullied lkn still they keep going.
You need an iron chest kuwa single mama. Ni watu kamwe siwezi kuwasimanga.
Hats off to all single mama who are disrupting status quo. Salute!
aisome Mzigua90
aisome Mzigua90[/QUOTE
Kwanza sikuahidiwa ndoa na baby daddy na hata angeahidi nisingekubali sababu hatukua serious kiasi cha kuongelea ndoa, hatukuwahi kuwa commited, hakuwahi kuahidi kunisupport nikibeba mimba aliahidi baada ya mimi kujifungua, sikubeba mimba kumkomesha kwa sababu sina tatizo nae lolote la kumkomesha, na kingine sikuwahi kuforce kutaka mtoto. Sasa mimba ilivyoingia na nilikua natumia kinga ulitaka nitoe? Embu subiri watoto wako wa kike waje wawe single moms tuone kama utavuta mdomo kuwasakama kama unavyonisakama mimi.
Nonsense.
Thanks nishapoa kabisa kitambo, nina A very responsible husband na wanetu wawili, ila likija suala la hizi discussion za usingle mom, ntapiga kelele mpaka watu wadhani mimi ni victim, yes mi ni victim kwa sababu mi ni products ya single mama, kwa maana babaetu alitutelekeza kwa mama since tukiwa wadogo (mi na kaka yangu). Sitaki sana kujua sababu ya sisi kutelekezwa pengine ndio gubu za wanawake lakini itoshe tu kusema hatukudeserve kuishi tulivyoishi ikiwa babaetu mzima wa afya na anauwezo wakutosha tu kutulea.Pole sana Binti Kiziwi,you have spoken a very heart touching words!
Achana nao hao, wala wasikuumize kichwa ukichunguza kwa makini utakuta wengi wao wana watoto walowakimbia, wamezaa nje ya zao hawana jema hawa la mno hawakuwezeshi kuishi. Ni maneno ya wakosajiThank you. Tunavumilia mengi jamani. Ila wanaume wa JF wana masimango sana. Yani wanaweza wakakufanya mkosaji kuliko mtu mwingine kwenye dunia hii.
Kuwa makini tu.akisema tuzae wewe sema tuoane.atleast hata tukija achana mtoto anao ndugu halali kiumeni wanaweza kusaidia.tatizo wanaume wanasema tuzae ila ukishabeba mimba wanakuja kugeuka