FYATU
JF-Expert Member
- Dec 7, 2011
- 5,392
- 4,468
Ni mtihani kwa Wababa wasio na maadili.Uo mtihani eti....
Ni mtihani kwa Wababa wasio na maadili.Uo mtihani eti....
Binadamu wamekua wanyamaNi mtihani kwa Wababa wasio na maadili.
Haaa shem,,kwann?Nina mashaka na wewe
Changamoto si kidogo kwani jamii ni kama imechanganyikiwa.Hapa changamoto
hizo bahati tunazitafuta sana,,,Alafu labda kana majaliwa ya Allah....basi taabu tupu.
maneno matamu sana haya,,,Kapo vizuri sana,yan hata kakivaa della bado mbwa anabweka bandani
mhhhh!!! wanakuwaga na huruma sana, nawapenda sana kwa roho yao nzuri hao.Ni wenyeji au wa Mkoani.
Hiki kisa changu mimi ni huku kaskazini, wanajiita Wa iraq.
Tunakulaga tu hao,,,Kwani tatizo haswa lipo upande gani?
Kwa Mtoto au Baba?, na kumbuka Baba anakuwa Mtu mzima hivyo ana mbinu nyingi na pengine ushawishi wa pesa...hivyo ni salama zaidi Baba awe na busara kuliko Binti.
rupia, njulugu, mtama kwa watoto, mafusho, shekeli n.k.Afu kuna watu wanajidanganya eti mapenzi yana run dunia.
Achana na kitu kinaitwa mavumba/pesa/fedha/ngawira/heleri...
Si ndio maana tunaomba Wababa ndio waweke maadili mbele?Tatizo unakuta mtoto mwnyw ndio anakuwekea mpira upige penati
Na mi nimewaza hiki kitu.. Hapa ndo mtagundua kiswahili bado ni lugha changa maana haina jina la huu uhusiano wa watoto[/QUOTE]Kwani kwa lugha ya malkia wanaitanaje ?Kijijini kwetu pia jamaa aliwazalisha mama na mtoto wake hapa sielewi hawa watoto wanaitanaje?
Watabaki kuwa Dada na Kaka kwani Mpanzi a.k.a Dingi wao ni mmoja.[/QUOTE]Kwani kwa lugha ya malkia wanaitanaje ?Na mi nimewaza hiki kitu.. Hapa ndo mtagundua kiswahili bado ni lugha changa maana haina jina la huu uhusiano wa watoto
Watabaki kuwa Dada na Kaka kwani Mpanzi a.k.a Dingi wao ni mmoja.[/QUOTE]Kwa sehemu watakua aunt/uncle coz m1 amezaliwa na mama wa mama ake (yule aliye zaliwa na binti wa single mama ) na kwa sehemu nyingine watakua kaka na Dada coz wamezaliwa kutoka kwa baba 1 this relation is awesomeNa mi nimewaza hiki kitu.. Hapa ndo mtagundua kiswahili bado ni lugha changa maana haina jina la huu uhusiano wa watoto
Na kweli ni tambara bovu.Aisee.... kweli dunia tambara bovu.
Gadem...!Mada kuntu hii...
Been there but did not do that...
"...Dadi utaninulia iPhone 7...?"
Yaani sisi tuajadili namna ya kuzikwepa wewe unasema unazitafuta.hizo bahati tunazitafuta sana,,,