Hao watu nasikia ni maharage ya mbeya,maji mara 1Ni wenyeji au wa Mkoani.
Hiki kisa changu mimi ni huku kaskazini, wanajiita Wa iraq.
Ni stori za kitaa tu...mbona wapo wanaosemwa ni wagumu lakini kumbe unakuta ni warahisi tu.Hao watu nasikia ni maharage ya mbeya,maji mara 1
Watu wamezoea kukariri mambo.Ni stori za kitaa tu...mbona wapo wanaosemwa ni wagumu lakini kumbe unakuta ni warahisi tu.
Ila kwa maisha ya zama hizi hiyo hali haikwepeki.Hizi ndio changamoto haswa ya kuzaa na mmoja, kuolewa na mwingine. Wanaume wa sasa hawana soni, wanakula mama na mtoto under one roof.
Mbuzi na chui hawakai zizi moja. atauchezea tuSema mama anakuwa na kijana wanaeendana na binti unafikiri nn kitatokea
NA wasipokupa, wanaumwamhhhh!!! wanakuwaga na huruma sana, nawapenda sana kwa roho yao nzuri hao.
Hamna namna lazima iwe hivyoMbuzi na chui hawakai zizi moja. atauchezea tu
Akishakuwa Single mother ni tayari Mama wa Mtoto/Watoto.Ila kwa maisha ya zama hizi hiyo hali haikwepeki.