JOTO LA MOTO
JF-Expert Member
- Apr 11, 2018
- 758
- 555
Umempata mwenza ili hali tayari unaye binti yako mashallah, anayekwenda 19-20 hivi.Hivi utatambuaje kama mwanaume uliyempata ni mkware ili uchukue tahadhari kwa binti yako huyo?
Au la, mnachukua tahadhari gani hata kama huoni dalili mbaya kwa mwenza wako huyo? Maana dunia ya leo umdhaniaye ndiye siye.
Ni juzi kati tu hapa nimesikia kisa cha baba na bintiye wa kambo kati ya visa lukuki vinavyotokea kila kukicha.
Au la, mnachukua tahadhari gani hata kama huoni dalili mbaya kwa mwenza wako huyo? Maana dunia ya leo umdhaniaye ndiye siye.
Ni juzi kati tu hapa nimesikia kisa cha baba na bintiye wa kambo kati ya visa lukuki vinavyotokea kila kukicha.