Single ladies wanapatikana wapi?

Naulizia wale wadada ambao wanafanya kazi zao na kuishi kwa kujitegemea. Sio wanafunzi, japo wako wanafunzi ladies. Wanapatikana wapi hawa? Napishana nao manjiani lakini hawajaandikwa wako singo. Kuwasimamisha njiani sio utaratibu. Nahitaji kuwa na mmoja mwenye kazi yake. Ukichanganya na yangu, tunasongesha.

Kukuta demu yuko singo kwa maana halisi ya singo ni vigumu.
 
madem wote unaowaona wana kazi zao sema tu kipato kinatofautiana na aina ya kazi.So Acha uvivu piga sound mtoto wa kiume hawa wakutafutiwa hawana issue

Dah.......ndugu yangu!!! Ulikuwa hujui kuwa siku hizi madomo gundi yameongezeka? Sijui ndo chipsi mayai hizo!!
 
mmesomeka wakuu. na mmesomeka kweli. wenu katika ujenzi wa taifa-----wallet. ladies msipite tu. mtoe na ishara zenye kuonekana. nimeshang'amua baadhi pia na nitaifanyia kazi list yangu.
 
we mi nlishakwambia uje Arusha tukeshe ukayeyusha....sijui unaogopa nini....

Sina nnachoogopa wangu, ni mikimbizano ya laifu tu ndo ilinitaiti... si unaona hata humu ukumbini nilipotea?? lakini punde si ndefu ntatia timu...ngoja nisubiri kidogo Arachuga itawalike..lol.
 
Naulizia wale wadada ambao wanafanya kazi zao na kuishi kwa kujitegemea. Sio wanafunzi, japo wako wanafunzi ladies. Wanapatikana wapi hawa? Napishana nao manjiani lakini hawajaandikwa wako singo. Kuwasimamisha njiani sio utaratibu. Nahitaji kuwa na mmoja mwenye kazi yake. Ukichanganya na yangu, tunasongesha.

Mida ya kuanzia saa 9.30 jisimamie Posta pale wapo wengi tu utawakuta wanakuja kupanda daladala na wewe unakamata hapo hapo
 
Mida ya kuanzia saa 9.30 jisimamie Posta pale wapo wengi tu utawakuta wanakuja kupanda daladala na wewe unakamata hapo hapo

nimekusoma mjomba. Ishu ni huo muda. Ila mchongo umetulia
 
Kwan we unawataka kwa ajili ya nn? I know one lady single divorced in a way.. but u haven't said u want ha 4 wat? Kwanza nawe ni single au double?
 
Kwan we unawataka kwa ajili ya nn? I know one lady single divorced in a way.. but u haven't said u want ha 4 wat? Kwanza nawe ni single au double?

natafuta wa kujenga nae life ww. Huyo mtalaka no!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom