Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu Amavubi Grumeti Reserves inamilikiwa na Bwana Paul Tudor Jones bilionea wa kiAmerika.Singita ni waendeshaji wa hizo Lodges & Camps.Bwana Jones anamilikia ekari 350,000 ambazo amejenga lodges & Camps zake na wanyama wa aina mbali mbali.
Kupitia uwekezaji wake mbuga ya Serengeti imekuwa ikipata wageni wa hali ya juu sana eg Melinda Gate,wafalme na mamilionea wa kiarabu.Pia amejitolea kujenga uwanja wa ndege wa kimataifa wilaya ya Serengeti na kuukabidhi serekali ya Tanzania.
View attachment 73959
si haba tunalo la kujivunia
View attachment 73956
hAPA NI KWA rOOM; Kioo kimoja unasimamisha nyumba, ni vigumu sana ili wanyama wasivunje, IMAGINE!!!
Mkuu Amavubi Grumeti Reserves inamilikiwa na Bwana Paul Tudor Jones bilionea wa kiAmerika.Singita ni waendeshaji wa hizo Lodges & Camps.Bwana Jones anamilikia ekari 350,000 ambazo amejenga lodges & Camps zake na wanyama wa aina mbali mbali.
Kupitia uwekezaji wake mbuga ya Serengeti imekuwa ikipata wageni wa hali ya juu sana eg Melinda Gate,wafalme na mamilionea wa kiarabu.Pia amejitolea kujenga uwanja wa ndege wa kimataifa wilaya ya Serengeti na kuukabidhi serekali ya Tanzania.