data
JF-Expert Member
- Apr 9, 2011
- 26,149
- 22,725
Watu 4 wamefariki dunia na wengine 22 kujeruhiwa mkoani Singida baada ya basi dogo la abiria aina ya Hiace kugongana uso kwa uso na Lori aina ya Fuso kwenye barabara kuu itokayo Singida kwenda Arusha
Maoni Yangu
Hakuna Serikali hii nchi. Nimeconclude!
Maoni Yangu
Hakuna Serikali hii nchi. Nimeconclude!