Singida: Viongozi wawili wa CHADEMA wamekamatwa wakiwa wamevaa T-shirts za Tundu Lissu zilizoandikwa PRAY FOR LISSU mchana huu

Mwanahabari Huru

JF-Expert Member
Mar 9, 2015
14,243
34,899
singida.jpg

Chadema Singida Makamu Mwenyekiti kanda ya Kati Bi. Aisha Yusufu Luja anaripoti kuwa viongozi wawili wa CHADEMA wamekamatwa wakiwa wamevaa T-shirts za Tundu Lissu zilizoandikwa PRAY FOR LISSU mchana huu.

Makamu Mwenyekiti kanda ya kati ameambatana na viongozi wengine wa chama kufuatilia suala hilo kwa OCD mkoani humo.
 
Nawaza tu. Kizazi hiki na viongozi hawa, hasa wa CHADEMA wanapoteza fursa adimu sana kwa kushindwa kuitangaza siku ya leo kuwa siku ya maadhimisho ya uhuru wa watu kutoka kwa watawala wakandamizaji wa haki za raia.

Taifa hili la Tanganyika na Zanzibar lilipata uhuru kutoka kwa wakoloni wazungu, lakini kwa bahati mbaya ukoloni na ukandamizaji wa uhuru unaendelezwa na watawala wa sasa.

Hivyo ni mapendekezo tu na ushauri kwa vyama vya siasa, asasi za kiraia, na makundi yote yanayopigania haki za na uhuru wa raia.
1. Washirikiane kuitangaza siku hii kuwa Freedom Day (Tundu Lissu Day).
2. Waitishe maandamano ya amani na makongamano nchi nzima kuongelea umuhimu wa uhuru na haki za raia bila ubaguzi.

Tukichelewa kitakuja kizazi kisiochofahamu sacrifice na mchango aliyoutoa Tundu Lissu kwa ajili ya uhuru na haki katika taifa hili.

Karibuni kwa mawazo ya kuboresha ili hii ajenda iweze kuchukuliwa na wahusika popote walipo.
 
Wakuu mimi pia ninayo t shirt iliyoandikwa PRAY FOR ANDUNJE

Hawa Polccm wasije kunichomoa huku Bunju kwenye hekalu langu na hivyo kuninyima haki yangu ya kupata kilaji week end hii
 
Wanyaturu wameanza ukabila,serikali isionee huruma mtu anayetaka kutuletea ukabila.
Nawaza tu. Kizazi hiki na viongozi hawa, hasa wa CHADEMA wanapoteza fursa adimu sana kwa kushindwa kuitangaza siku ya leo kuwa siku ya maadhimisho ya uhuru wa watu kutoka kwa watawala wakandamizaji wa haki za raia.

Taifa hili la Tanganyika na Zanzibar lilipata uhuru kutoka kwa wakoloni wazungu, lakini kwa bahati mbaya ukoloni na ukandamizaji wa uhuru unaendelezwa na watawala wa sasa.

Hivyo ni mapendekezo tu na ushauri kwa vyama vya siasa, asasi za kiraia, na makundi yote yanayopigania haki za na uhuru wa raia.
1. Washirikiane kuitangaza siku hii kuwa Freedom Day (Tundu Lissu Day).
2. Waitishe maandamano ya amani na makongamano nchi nzima kuongelea umuhimu wa uhuru na haki za raia bila ubaguzi.

Tukichelewa kitakuja kizazi kisiochofahamu sacrifice na mchango aliyoutoa Tundu Lissu kwa ajili ya uhuru na haki katika taifa hili.

Karibuni kwa mawazo ya kuboresha ili hii ajenda iweze kuchukuliwa na wahusika popote walipo.
Tundu lisu hajatoa mchango kwenye Uhuru Wa nchi hii alikuwa hajazaliwa.
 
View attachment 859726
Chadema Singida Makamu Mwenyekiti kanda ya Kati Bi. Aisha Yusufu Luja anaripoti kuwa viongozi wawili wa CHADEMA wamekamatwa wakiwa wamevaa T-shirts za Tundu Lissu zilizoandikwa PRAY FOR LISSU mchana huu.

Makamu Mwenyekiti kanda ya kati ameambatana na viongozi wengine wa chama kufuatilia suala hilo kwa OCD mkoani humo.

Kwanikuna kosa gani kumwombea mtu? Rais mwenyewe anasemaga aombewe, sasa ili la kumwombea huyo limekuwa kosa?
View attachment 859726
Chadema Singida Makamu Mwenyekiti kanda ya Kati Bi. Aisha Yusufu Luja anaripoti kuwa viongozi wawili wa CHADEMA wamekamatwa wakiwa wamevaa T-shirts za Tundu Lissu zilizoandikwa PRAY FOR LISSU mchana huu.

Makamu Mwenyekiti kanda ya kati ameambatana na viongozi wengine wa chama kufuatilia suala hilo kwa OCD mkoani humo.


Kwani kuna kosa gani kumwombea? Rais mwenyewe anawaambia watu wemwombee. Au tatizo ni hizo T-shirt?

Wawakamate, au wasiwakamate, watu wanaendelea kumwombea LIsu, MUNGU alisha mwokoa na kumponya
 
Back
Top Bottom