Timu ya mpira Wa Miguu ya Singida United inayoshiriki Michuano ya Kombe la SportPesa huko nchini Kenya imefanikiwa kuingia hatua ya nusu fainali baada ya kuitoa FC Leopard ya Kenya kwa mikwaju ya penati. Singida itakabiliana na Gor Mahia katika hatua ya nusu fainali huku Simba ikichuana na Kakamega Homeboys.
Mshindi wa Mashindano haya atakwenda kucheza na Timu ya Everton inayoshiriki ligi EPL ya nchini Uingereza.
Mshindi wa Mashindano haya atakwenda kucheza na Timu ya Everton inayoshiriki ligi EPL ya nchini Uingereza.