Masikini_Jeuri
JF-Expert Member
- Jan 19, 2010
- 6,829
- 1,296
Wana jamvi asubuhi hii naelekea mkoani Singida hii ikiwa ni mara yangu ya pili baada ya miaka miwili; naambiwa mkoa umepiga hatua kimaendeleo; nakwenda kujionea! Lakini naleta kwenu kuwa huu ni mkoa wenye potential kubwa kiuchumi na kama maeneo mengine unaonaekana kusahauliwa katika kuexhaust hizo potentials?
Nini tatizo? na nini kipewe kipaumbele kuwainua wakazi wa mkoa huu?
Nini tatizo? na nini kipewe kipaumbele kuwainua wakazi wa mkoa huu?