Kibwengo
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 6,834
- 5,291
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
'Huna' akili
This is terribleKatibu Mwenezi wa CHADEMA Kata ya Mhintiri, Jimbo la Singida Magharibi ameuawa kwa kukatwakatwa na mapanga kwenye mashamba yake.
Amepatikana akiwa amefariki. Nimepata taarifa wakati huu nikitoka kwenye Mkutano wa Kampeni Kijiji cha Mayaha, Kata ya Minyughe.
Nimewasiliana na OCD Wilaya ya Ikungi.
Hemedi Kulungu, Mgombea Ubunge Singida Magharibi!
Labda ashukiwe na Roho wa MunguNasubiri tamko la Magufuli la kukamata wauaji haraka kama alivyotamka alipouawa yule wa Iringa hapo ndio tutajua maendeleo yana chama au la
Kwani BBC, DW, Fatuma, n.k wameshatoa tamko kuhusu tukio la Iringa?Nasubiri tamko la Magufuli la kukamata wauaji haraka kama alivyotamka alipouawa yule wa Iringa hapo ndio tutajua maendeleo yana chama au la
Hee?! Hao uliowatambulisha ni lini wamekuwa wasemaji wa Taifa Hili??Kwani BBC, DW, Fatuma, n.k wameshatoa tamko kuhusu tukio la Iringa?