Jamani jitokezeni wanasingida kaskazini mgombee ubunge kwa tiketi ya CHADEMA. Nyalandu hatufai,ni mwizi, mwongo,mzinzi,anayependa kujisifu na kujigamba. Ametoa ahadi nyingi sana jimboni na sidhani kama amewahi kutekeleza hata moja.
Nitamsaidia mgombea yeyote kwa tiketi ya CDM kujenga hoja sio chini ya 106 wakati wa kampeni zake ili amwondoe huyu baradhuli.
Vijana wanasema akitokea mtu wa kugombea kupitia tiketi ya CDM wataanza kupiga kampeni hata sasa, yaani wanasema wamechoshwa na huyu Nyang'au na chama chake cha Magamba.
Lissu tunakuomba utie timu ili kulianzisha hata kama sio jimbo lako maana naelewa wewe ni chachu kubwa sana.
Mie sitagombea lakini nitatoa msaada wa hali na mali.
Nitamsaidia mgombea yeyote kwa tiketi ya CDM kujenga hoja sio chini ya 106 wakati wa kampeni zake ili amwondoe huyu baradhuli.
Vijana wanasema akitokea mtu wa kugombea kupitia tiketi ya CDM wataanza kupiga kampeni hata sasa, yaani wanasema wamechoshwa na huyu Nyang'au na chama chake cha Magamba.
Lissu tunakuomba utie timu ili kulianzisha hata kama sio jimbo lako maana naelewa wewe ni chachu kubwa sana.
Mie sitagombea lakini nitatoa msaada wa hali na mali.