Tabutupu
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 13,108
- 18,326
Tumeshitushwa sana kwamba jimbo la Tundu Lissu limetelekezwa na hata jjna lake umeshindwa kilitaja eti umesahahu hadi unauliza kwa watu.
Hivi ni nani asiyejua kwamba Tundu Lissu ji jina ambalo halita toka kichwani mwako hadi uingie kaburini?
Kwa vyovyote vile kwa kauli ulizozitoa ni kejeli kubwa sana kwa wana Singida pamoja na watanzania wote.
Kama ni muumini wa umoja wa kitaifa haya makovu lazima yapatiwe majibu ya wazi.
Tundu Lissu, Ben Saanane, Azori ni majini ambayo hayata acha mti mwovu usalie.
Maendeleo ya kweli huanza na haki za binadamu wenzio.
Singida tunahitaji majibu ya kueleweka juu ya nani aliruhusu uhai wake kutolewa.
Mungu wa Tundu Lissu hana haraka, kulazimisha toba.
Hivi ni nani asiyejua kwamba Tundu Lissu ji jina ambalo halita toka kichwani mwako hadi uingie kaburini?
Kwa vyovyote vile kwa kauli ulizozitoa ni kejeli kubwa sana kwa wana Singida pamoja na watanzania wote.
Kama ni muumini wa umoja wa kitaifa haya makovu lazima yapatiwe majibu ya wazi.
Tundu Lissu, Ben Saanane, Azori ni majini ambayo hayata acha mti mwovu usalie.
Maendeleo ya kweli huanza na haki za binadamu wenzio.
Singida tunahitaji majibu ya kueleweka juu ya nani aliruhusu uhai wake kutolewa.
Mungu wa Tundu Lissu hana haraka, kulazimisha toba.