Hii ndiyo hali ya Singida kwa miaka 5, tumefanya tathimini kuelekea miaka hamsini ya Uhuru, tumethubutu, tumeweza na tunasonga mbele kwenye ujinga zaidi
HIVI NI VIWANGO VYA UFAULU KATIKA ELIMU KIMKOA
Mwaka 2007 = 73%
Mwaka 2008 = 51%
Mwaka 2009 = 45%
Mwaka 2010 = 36%
Mwaka 2011 ===== Hatujui itakuwaje. Ila kwa Mtiririko huo Mkoa huu unaelekea kule ambapo si rahisi sana mimi kutaja. Utendaji wa Serikali katika hili ukoje? tunaweza kuzungumzia kupungua kwa umasikini na ujinga katika takwimu hizi?
HIVI NI VIWANGO VYA UFAULU KATIKA ELIMU KIMKOA
Mwaka 2007 = 73%
Mwaka 2008 = 51%
Mwaka 2009 = 45%
Mwaka 2010 = 36%
Mwaka 2011 ===== Hatujui itakuwaje. Ila kwa Mtiririko huo Mkoa huu unaelekea kule ambapo si rahisi sana mimi kutaja. Utendaji wa Serikali katika hili ukoje? tunaweza kuzungumzia kupungua kwa umasikini na ujinga katika takwimu hizi?