Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 29,637
- 26,045
Hakuna cha shule wala nini. Huyo Lema atoe tu huo ushahidi basi, mambo yatumuwia shwari.Shule shule shule...
Hakuna cha shule wala nini. Huyo Lema atoe tu huo ushahidi basi, mambo yatumuwia shwari.Shule shule shule...
Hamtaki marehemu watambuliwe ?! .Atoe majina mengine tena ya waliouawa Manyoni huko IG tuone.
Lema atoe tu huo ushahidi. Acheni longolongo.
Hivi polisi huwa hawaoni aibu kila kitu huwa mpaka washinikizwe ni kama huwa hawajui kazi yao,au wamezoea kuamrishwa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Magonjwa haya mambo hayatadumu. Dunia hii imedumu lakini wanadamu hawadumu. Hii inanikumbusha Mawazo alivyouawa kinyama na mnaowaita wasiojulikana. Siku moja haya mambo yatawekwa wazi.Lema atoe tu huo ushahidi. Acheni longolongo.
Unadhani na Lema atadumu milele, au?Magonjwa haya mambo hayatadumu. Dunia hii imedumu lakini wanadamu hawadumu. Hii inanikumbusha Mawazo alivyouawa kinyama na mnaowaita wasiojulikana. Siku moja haya mambo yatawekwa wazi.
Msiwe na kiu ya damu ya watu wenye itikadi tofauti nanyi .
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo la kushabikia jambo usilolijua, Lema alipewa orodha naye kwakua hana uhakika akalitaka jeshi la polisi lifanye uchunguzi narudia jeshi la polisi lifanye uchunguzi, bahati mbaya Lema ni Chadema hivyo badala ya kufanya uchunguzi wanamkamata, shida ni kiswahili.Wnaijua kazi yao vizuri, nasi tujue pa kuropokea na pasipo stahili. Mtu unayo majina ya Marehemu waliouwawa, na unaficha ya watuhumiwa au yale majambazi waliofanya unyama huo, kwa sababu ya kuyatumia majina ya hao wauwaji, kwa manufa ya kujijenga kisiasa.
Lema faida aliyoitaka ni kuufanya uhasama huo kama mtaji wa kisiasa, ni lazima upingwe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Lema hatodumu, lakini anapigania kila mwananchi apate justice bila kuangalia itikadi yake.Unadhani na Lema atadumu milele, au?
Sheria ya makosa ya kimtandao, mtoa taarifa kabla hujaitangazia dunia jambo lazima uwe na uhakika na uwasilishe mahali sahihi.Tatizo la kushabikia jambo usilolijua, Lema alipewa orodha naye kwakua hana uhakika akalitaka jeshi la polisi lifanye uchunguzi narudia jeshi la polisi lifanye uchunguzi, bahati mbaya Lema ni Chadema hivyo badala ya kufanya uchunguzi wanamkamata, shida ni kiswahili.
Wnaijua kazi yao vizuri, nasi tujue pa kuropokea na pasipo stahili. Mtu unayo majina ya Marehemu waliouwawa, na unaficha ya watuhumiwa au yale majambazi waliofanya unyama huo, kwa sababu ya kuyatumia majina ya hao wauwaji, kwa manufa ya kujijenga kisiasa.
Lema faida aliyoitaka ni kuufanya uhasama huo kama mtaji wa kisiasa, ni lazima upingwe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa tungoje awape polisi ushahidi, kwani shida iko wapi?
Wewe ni ZEZETA sana.polisi walikuwa wapi? Siku zote kuwakamata WAHUSIKA?. Tatizo ni kuwa mnataka mkiuwa watu wasiambiwe na wala wasijue kuwa mmeuwa. Sikia amuwezi kuuwa isijulikane.Wnaijua kazi yao vizuri, nasi tujue pa kuropokea na pasipo stahili. Mtu unayo majina ya Marehemu waliouwawa, na unaficha ya watuhumiwa au yale majambazi waliofanya unyama huo, kwa sababu ya kuyatumia majina ya hao wauwaji, kwa manufa ya kujijenga kisiasa.
Lema faida aliyoitaka ni kuufanya uhasama huo kama mtaji wa kisiasa, ni lazima upingwe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Atoe majina mengine tena ya waliouawa Manyoni huko IG tuone.
Hakuna cha shule wala nini. Huyo Lema atoe tu huo ushahidi basi, mambo yatumuwia shwari.
Hasira za nini sasa?Ujinga mzigo.wewe ni mjinga. Umejaza usage kichwani ni madhara ya wizi wa mitihani
Sent using Jamii Forums mobile app
Utajiju...
Shida huwa mnaandika as if watu wote wanao soma hapa Jf wako eneo la tukio.
Mbunge wa Arusha Mjini (CHADEMA), Godbless Lema ameachiwa kwa dhamana leo, baada ya kushikiliwa Polisi tangu Jumatatu Machi 2, 2020
Lema alienda kuripoti Ofisi ya Mkuu wa Upelelezi wa Polisi (RCO) Arusha kama alivyotakiwa kufanya baada ya kupigiwa simu na Polisi ambao walienda kwake na kumkosa
Baada ya hapo alisafirishwa kwenda Kituo Kikuu cha Polisi Singida ambapo alihojiwa akituhumiwa kutoa taarifa za upotoshaji zenye lengo la kuchonganisha Jeshi hilo na Wananchi
Aidha, Katibu wa CHADEMA Wilaya Singida Mjini, alisema Lema alimwambia kuwa kosa analodaiwa kutenda ni kutaja orodha ya watu 14 waliouawa Manyoni kwa kuchinjwa na kuchomwa moto.
PIA SOMA:
Godbless Lema aitwa na Ofisi ya RCO Arusha, asafirishwa na Polisi usiku kwenda Singida