Lady Whistledown
JF-Expert Member
- Aug 2, 2021
- 1,021
- 1,609
Mwamba akutwa na Diesel lita 300 za wizi, ameiba kwenye magari makubwa
Emmanuel Juma (29) Mkazi wa Wilaya ya Ikungi anashikiliwa na Jeshi la Polisi Mkoa wa Singida kwa tuhuma za wizi wa Mafuta ya Diesel katika magari makubwa yanayopita Ikungi kisha kwenda kuuza kwa bei nafuu mtaani.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Singida, ACP Stella Mutabihirwa amesema mtuhumiwa alikamatwa Aprili 9, 2022 na mafuta Lita 300 ambazo alikuwa amezihifadhi katika madumu ya Lita 20.
Emmanuel Juma (29) Mkazi wa Wilaya ya Ikungi anashikiliwa na Jeshi la Polisi Mkoa wa Singida kwa tuhuma za wizi wa Mafuta ya Diesel katika magari makubwa yanayopita Ikungi kisha kwenda kuuza kwa bei nafuu mtaani.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Singida, ACP Stella Mutabihirwa amesema mtuhumiwa alikamatwa Aprili 9, 2022 na mafuta Lita 300 ambazo alikuwa amezihifadhi katika madumu ya Lita 20.