Singapore na chama kimoja kuanzia uhuru vs tanzania na chama kimoja kuanzia uhuru

Mkwawabongo

Senior Member
Jul 28, 2015
154
116
Chama tawala nchini Singapore amabacho kimepishana miaka miwili tu na TANU(CCM) jana kiliweza kushinda tena uongozi na kuendelea kuongoza kwa miaka mingine minne. Ukilinganisha Tanzania na Singapore kwa maliasili tulizo nazo ni sawa sawa na kulinganisha kifo na usingizi. Lakini ukiangalia maendeleo hawa jamaa waliyo ni zaidi ya hata wamarekani na karibia nchi yote yenye raia takriban 2.5 million wana kipata cha zaidi ya 11million za kitanzania kwa mwezi.

Nime attach picha muone haka ka nchi kalivyo endelea wakati ina umri sawa na Tanzania kwenye Uhuru.

CCM wangeweza kuleta mabadiliko hata robo ya haya ndani ya hii miaka hamsini na nne wangekuwa na haki ya kurudishiwa nchi lakini wametuangusha na inabidi tuchukue mkondo mwinigine wenye maslahi mapana na wananchi wote.
 

Attachments

  • 3a10217b6db20ba4ee9afc19f948-grande.jpg
    3a10217b6db20ba4ee9afc19f948-grande.jpg
    29.2 KB · Views: 622
  • 210328497.jpg
    210328497.jpg
    37.8 KB · Views: 476
  • Singapore.jpg
    Singapore.jpg
    678.1 KB · Views: 732
  • Singapore_CBD_skyline_from_Esplanade_at_dusk.jpg
    Singapore_CBD_skyline_from_Esplanade_at_dusk.jpg
    126.1 KB · Views: 540
  • riverslum.jpg
    riverslum.jpg
    42.3 KB · Views: 523
Bana eeeeh!Tumeyataka wenyewe kwani tulilazimishwa kuichagua CCM kwa hiyo tutaishi hivyohivyo kibishi.
 
Bana eeeeh!Tumeyataka wenyewe kwani tulilazimishwa kuichagua CCM kwa hiyo tutaishi hivyohivyo kibishi.

Lee Sieng Long si sawa na Jk wewe, na hata upinzani hauko strong kama Tz. Media zote, judiciary system na bunge vimekua free baada ya 24/3/2015. Fuatilia video za Amos Yee youtube ujifunze
 
Suala lingine la muhimu ni kwamba nchi hiyo haijawahi Kuwa nchi ya Chama kimoja cha siasa. Miaka yote tangu Uhuru imekuwa nchi ya vyama vingi
 
Chama tawala nchini Singapore amabacho kimepishana miaka miwili tu na TANU(CCM) jana kiliweza kushinda tena uongozi na kuendelea kuongoza kwa miaka mingine minne. Ukilinganisha Tanzania na Singapore kwa maliasili tulizo nazo ni sawa sawa na kulinganisha kifo na usingizi. Lakini ukiangalia maendeleo hawa jamaa waliyo ni zaidi ya hata wamarekani na karibia nchi yote yenye raia takriban 2.5 million wana kipata cha zaidi ya 11million za kitanzania kwa mwezi.

Nime attach picha muone haka ka nchi kalivyo endelea wakati ina umri sawa na Tanzania kwenye Uhuru.

CCM wangeweza kuleta mabadiliko hata robo ya haya ndani ya hii miaka hamsini na nne wangekuwa na haki ya kurudishiwa nchi lakini wametuangusha na inabidi tuchukue mkondo mwinigine wenye maslahi mapana na wananchi wote.

Wewe mwenyewe kumbe unakaita kainchi! Sasa utalinganisha na liinchi lenye watu kibao na kabila kibao tena kila mtu mjuaji. Huoni kwamba ile kuwafanya wawe na amani tu ni mziki mnene? Mjue basi na kusifia hata kama ni kinafiki
 
Nchi itaendeaje wakati viongozi wakuu wa serikali wanaiba benki kuu(rejea Kagoda na escrow]
 
idadi ya watu inakusuta hilo moja.

singapore ilikuwa lini mstari wa mbele katika ukombozi kusini mwa afrika kwa mfano? maana tanzania kuna watu wengine wa ajabu sana. kulaumu tu just for the sake of it.
 
Back
Top Bottom