SINGAPORE: Kampuni ya CocaCola yatengeneza ''hug me coke machine'' kusambaza upendo kwa wateja

BigBaba

JF-Expert Member
Feb 7, 2017
1,909
9,038
29f5666ab4bfc8e43cc69720ab3afd11.jpg


Nchini Singapore kampuni ya soda ya CocaCola imetengeneza mashine maalum ambazo ukizikumbatia zinakuwezesha kupata soda ya bure 'automatically'. Mashine hiyo unapoikumbatia inatoa soda bure na zinajulikana kama "Hug Me Coke Machine". Kampuni ya CocaCola imesema lengo la kuweka mashine hizo mitaani ni kusambaza upendo kwa wateja wake.

Fikilia hii mashine ungekuwa bongo ingekuwaje.
 
Ingekuwa Bongo saa hizi foleni yake ingeanzia Kimara hadi Buguruni. Lumumba ingekuwa tupu, watu wameenda kutoa njaa kwenye friji
Yani una maana vijana wa Lumumba buku 7 wangeacha kuingia Jf kutukana wangekimbilia soda? Hawa vijana wana laana kuna Ka ukweli hapa
 
Bongo zilifungungwa camera za ulinzi kigamboni darajani ila dakika tatu mbele zikawa na zenyewe zimeshaibiwa.
 
Back
Top Bottom