Sinema ya avatar(2009) asili yake ni masai

chizcom

JF-Expert Member
Jul 31, 2016
7,581
15,709
Wenzetu sijui walituzidi nini!

ile sinema ukifatilia mpaka mwisho unaona jamii ya viumbe walikuwa hawa taki binadamu kuharibu mazingira yao.

baada utunzi watu wakaja kugundua mauzi ilikuwa kwa ajili ya masai

IMG_0818.jpg

IMG_0821.jpg


pili wazungu wanatumia taswira nyingi kwa muafrika

IMG_0816.jpg
 
Hii umesema wewe mkuu.

james cameron aliimagine tu hii movie na hawa viumbe pamoja na artist wengine ndio maana ikaitwa sci fi.
Hii ni movie ni sci fi kama avengers, now unaweza sema marvel walimtengeneza Thanos kupitia characteristics za bill gates ambaye anataka kupunguza population duniani.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom