Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 14,138
- 22,504
ukute nesi analibinya binya kabla ya kuchoma sindano..
huku anakwambia we kaka ivi hili tako unalipakaga mafuta kweli?
huku anakwambia we kaka ivi hili tako unalipakaga mafuta kweli?
1- mgonjwa anatakiwa awekwe sawa kisaikolojia na arelax misuli kabla ya kuchomwa sindanoKama zipi mkuu
Ndio maana toka mtoto nakwepa sana hii mamboKushikwa tako na mwanaume mwenzio ni jau sana!
1- mgonjwa anatakiwa awekwe sawa kisaikolojia na arelax misuli kabla ya kuchomwa sindano
2- kabla ya kumchoma mgonjwa sindano nesi anatakiwa kumtaarifu mgonjwa eneo sindano inapoenda kutua ili asikaze misuli ya sehemu hiyo ili kutosababisha maumivu yasiyo ya lazima
3- sindano inapochomwa inatakiwa kuwa angle 90° na iingizwe kwa haraka kidogo kiasi cha nusu kichuma cha sindano kuzuia kugusa mfupa; dawa inaposukumwa kwa syringe inatakiwa iingizwe taratibu mwilini tofauti na jinsi sindano ilivyo ingizwa mwilini ili kupunguza maumivu.
4- utoaji wa sindano unatakiwa itolewe mwilini ktk angle 90°kama jinsi ilivyoingizwa.
5- mgonjwa kupewa pole na kupongezwa kwa uvumilivu
We wa kike ni sawa....sasa mimi ndume yene kushikwa mdanga kwakweli it is soooo uncomfortableBora sindano..madonge hayapiti kooni
eti kushikwa mdangaWe wa kike ni sawa....sasa mimi ndume yene kushikwa mdanga kwakweli it is soooo uncomfortable
Eeh nilichoma mkononi..anapapasa papasa hivi.Ndio apapase mdanga wenyewe mgumu kama kitako cha pasi??no way!labda nizidiwe sana(Mungu pishia mbali)eti kushikwa mdanga
Hahahahaha.....mwanaume unalegezaje yako yani kwa mfano??we weka vidonge hata plastiki zima poa tu.tako nopeKwa sasa sina uvumilivu wa kulegeza kalio aisee nilikaza tu sindano ivunjike
Hongera kwa kunieleweshaa
Hivi sasa ushadika std 7. Bado unaogopa?Duuh, Mimi sindano acha kabisa hata ya kidole ya malaria inakua shida, manesi wanakasirika eti nasumbua , nishawahi kuandikiwa sindano za makalio nilivyokua Mdogo kama std 4 hivi duuh, ukichomwa inabidi upumzike kwanza usimove kwa muda, zinaumaa
Lakini mbona ile sindano yangu huiogopi?Nipe vidonge mwezi mzima sio sindano...
Mara ya mwisho nakumbuka yule doctor alikuwa na huruma sana, anajua kubembelezaa ila ilikuwa ya mkononi
Kuna manesi wanakuchoma sindano huku wakisindikiza na maneno mazuuri yenye mvuto "pooooleeee"...... Lakini kuna wale uso wa mbuzi na akikuchoma sindano maumivu yake hayaelezeki halafu inachukua muda sana kupoa
Yani ni kuulizwa tu ulivyokuja ulichoma tako lipi ili wachome linginezilikuwapo ila labda kwa hospitali chache sana.
sijajua unataka kuongelea nini!? Lakini nijuavyo vifaa hivyo huwa hawatumiagi kwenye tako mkuu.Yani ni kuulizwa tu ulivyokuja ulichoma tako lipi ili wachome lingine
Nazungumzia utaratibu wa miaka 30 nyuma na sio sasa hivisijajua unataka kuongelea nini!? Lakini nijuavyo vifaa hivyo huwa hawatumiagi kwenye tako mkuu.