fundiaminy
JF-Expert Member
- Jun 4, 2009
- 355
- 51
nimeskia taarifa kuwa uchina imevumbua dawa ya kupanga uzazi.dawa hiyo ni kwa kupitia sindano anayodungwa mwanaume sawia na zile za wanawake na itazuia uzalishaji wa mbegu za kiume kwa mda.kati ya wanaume 50 waliofanyiwa utafiti ni mmoja tu aliyeweza kumpachika mkewe mimba.dawa zenyewe hazina side effects...duh!na vile waume hupenda kudunga sindano ma wyf zao,je watakubali kudungwa??