LIKUD
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 15,066
- 26,999
Whats up with us ? Ni kwamba huwa wanatu l(r)oga or what?
Sintatoa matunzo kwa mwanamke ambae si mke wangu wa ndoa.
Ni miezi sita sasa tangu nijiwekee nadhiri ya kutokuhonga. Kiasi cha pesa ambacho nimekitunza kinaweza kutumika kufanya kitu cha maana tu. Nilikuwa natapanya hela zangu.
" Ukiwa muhongaji sana hukawii kulost" ...Mabaga Fresh in their song ' Mtulize' feat Juma Nature ..mwaka 2000.
Sintatoa matunzo kwa mwanamke ambae si mke wangu wa ndoa.
Ni miezi sita sasa tangu nijiwekee nadhiri ya kutokuhonga. Kiasi cha pesa ambacho nimekitunza kinaweza kutumika kufanya kitu cha maana tu. Nilikuwa natapanya hela zangu.
" Ukiwa muhongaji sana hukawii kulost" ...Mabaga Fresh in their song ' Mtulize' feat Juma Nature ..mwaka 2000.