Sinaaa maana hiyo......

B'REAL

JF-Expert Member
Oct 20, 2010
4,279
2,733
6.jpg 5.jpg du.jpg
 
dah !!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
hiki kizazi sijui vipi yani?
sisi tuliozaliwa miaka ya themannin na miaka ya tisini sijuu watoto wetu watakuta nini?

angalia apo yani ni full anasa,**** bovu na mchupa wa bia mkononi blazamen nae kajikunja tuu kwamba ana demu wa maana au ndo wale tunaojipoozea pale corner bar.

huyo mdada kesho ukimkuta kwenye gazeti la udaku na hizo picha et wazazi wake nao wataenda mahakamani kwamba umemdhalilisha binti yao.
 
life ni short kamaa kinguo alicho vyaaa,wenyewe wanakwambiaa baby umetokaa skopaaaa
 
safi sana.sio mtu unaingia disco na baibui.lakini naona **** limekomaa.haya mambo ya kawaida sana...wanaoshangaa sijui wanaishi wapi.mababu zetu zamani walikuwa wanaziba mbele na nyuma tu kwa kitambaa kama makhirikhiri.
 
Sijaona tatizo hapa, ni kila jambo na mahali pake.
<img src="https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=36610&amp;stc=1" attachmentid="36610" alt="" id="vbattach_36610" class="previewthumb" /><img src="https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=36611&amp;stc=1" attachmentid="36611" alt="" id="vbattach_36611" class="previewthumb" /><img src="https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=36612&amp;stc=1" attachmentid="36612" alt="" id="vbattach_36612" class="previewthumb" />
<br />
<br />
 
kijanaaa kweliii we mkareee...semaa babylone kunaa machangu wakaliii ila nikamaa mrinaaa au shivazz tu.
Duh kama pale Samunge Club a.k.a Babylon Club Arusha, full bata warembo
 
Huu ufulska umepitiliza kipimo!
<img src="https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=36610&amp;stc=1" attachmentid="36610" alt="" id="vbattach_36610" class="previewthumb" /><img src="https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=36611&amp;stc=1" attachmentid="36611" alt="" id="vbattach_36611" class="previewthumb" /><img src="https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=36612&amp;stc=1" attachmentid="36612" alt="" id="vbattach_36612" class="previewthumb" />
<br />
<br />
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom