babyfancy
JF-Expert Member
- Oct 20, 2018
- 2,176
- 6,182
WANAUME wenyewe wa siku hizi yaliyomo hata hakuna ndio maana KILA mtu anatafuta pa kupuganika huko nje ya ndoaNyie si huwa mnalalamika kuwa kila siku hamuwezi kutoa?
WANAUME wenyewe wa siku hizi yaliyomo hata hakuna ndio maana KILA mtu anatafuta pa kupuganika huko nje ya ndoaNyie si huwa mnalalamika kuwa kila siku hamuwezi kutoa?
Wa kwako tu ndio mwenye changamotoWANAUME wenyewe wa siku hizi yaliyomo hata hakuna ndio maana KILA mtu anatafuta pa kupuganika huko nje ya ndoa
Haya ni malalamiko kutoka KWA wanawake wengi tu na mpaka wamefika belgium kulalamikaWa kwako tu ndio mwenye changamoto
Tatizo mnawachosha kwenye kutafuta helaHaya ni malalamiko kutoka KWA wanawake wengi tu na mpaka wamefika belgium kulalamika
Siku hizi hela tunatafuta wote tafuteni kingine kisingizioTatizo mnawachosha kwenye kutafuta hela
sawaSiku hizi hela tunatafuta wote tafuteni kingine kisingizio
Check kabilaTangu nilipokutana naye tu, nakuwa namuwaza yeye; Ana sura nzuri, nywele ndefu, mweupe, mwili wa kuvutia, umbo namba nane, chura ya wastani yakuvutia (curvy), sauti nzuri ya kubembeleza; hasa pale anaponiita baby, mume wangu; najikuta naishiwa nguvu kabisa.
Nikamwambia; 'unanikoleza sana bibie, na unajua mimi ni mume wa mtu; siko tayari niitelekeze familia yangu, kwa ajili yako'. Akanijibu; 'usihofu mpenzi mi siingilii ndoa yako, ninaiheshimu sana; ila mi nataka nikupe furaha tu, ambayo huipati huko kwingine, muhimu unijali mahitaji yangu, kama mpenzi wako na utafurahi sana kuwa na mimi'.
Nikamwambia; 'kwa uzuri ulionao, nataka unizalie mtoto kama alama yangu kwako'; akajibu, 'ondoa shaka mume wangu, ni wewe tu, kwa nini nikukatalie wewe, kwani mimi nimekuwa nani?'
Hapa nilipo, nimemuambia aandae bajeti ndogo nitoke naye 'out' kabla ya pasaka, angalau akaufanyie 'service' uti wa mgongo; kwa sababu kipindi cha sikukuu nitakuwa na familia, na sitakuwa na nafasi ya kumuona.
Nilichogundua: wanaume hawana sauti kwa watoto wazuri. Ukiona mwanaume anamkoromea mwanamke, jua huyo mwanamke sio pisi kali.
Sorry ..nimeongelea in general and not you as individualExcuse me....nimekusea nn mpk unitolee mfano mimi...huna namna ingine ya kuongea...jaribu kuheshim mtu ambae haja kunenea baya..
Arusha mkuuCheck kabila
Apology acceptedSorry ..nimeongelea in general and not you as individual
Mna muda gn toka muanze kudate...ushamla?mnaishi mkoa mmoja?Nakubaliana nawe mkuu, maneno mazuri yanaweza kuwa yakitapeli; ila nimejiandaa, asije kunitapeli kiasi kikubwa.
Mwezi, Mikoa tofauti, tulishakulanaMna muda gn toka muanze kudate...ushamla?mnaishi mkoa mmoja?
Ujumbe hatariMithali 22:14 - Kinywa cha malaya ni shimo refu; Anayechukiwa na Bwana atatumbukia ndani yake.
Keruu bwashee unaingizwa mjini sasa hivi.Tangu nilipokutana naye tu, nakuwa namuwaza yeye; Ana sura nzuri, nywele ndefu, mweupe, mwili wa kuvutia, umbo namba nane, chura ya wastani yakuvutia (curvy), sauti nzuri ya kubembeleza; hasa pale anaponiita baby, mume wangu; najikuta naishiwa nguvu kabisa.
Nikamwambia; 'unanikoleza sana bibie, na unajua mimi ni mume wa mtu; siko tayari niitelekeze familia yangu, kwa ajili yako'. Akanijibu; 'usihofu mpenzi mi siingilii ndoa yako, ninaiheshimu sana; ila mi nataka nikupe furaha tu, ambayo huipati huko kwingine, muhimu unijali mahitaji yangu, kama mpenzi wako na utafurahi sana kuwa na mimi'.
Nikamwambia; 'kwa uzuri ulionao, nataka unizalie mtoto kama alama yangu kwako'; akajibu, 'ondoa shaka mume wangu, ni wewe tu, kwa nini nikukatalie wewe, kwani mimi nimekuwa nani?'
Hapa nilipo, nimemuambia aandae bajeti ndogo nitoke naye 'out' kabla ya pasaka, angalau akaufanyie 'service' uti wa mgongo; kwa sababu kipindi cha sikukuu nitakuwa na familia, na sitakuwa na nafasi ya kumuona.
Nilichogundua: wanaume hawana sauti kwa watoto wazuri. Ukiona mwanaume anamkoromea mwanamke, jua huyo mwanamke sio pisi kali.
Ni kuwa nao makini mkuuKeruu bwashee unaingizwa mjini sasa hivi.
Mimi mwanamke akiniletea mahaba ya Tanga uwa nahisi ananitapeli kabisa. Nakuwa naona kama anaihiza flani.
😂😂😂kuna msemo unasema wajinga ndio waliwao
Hata mimi kuna jamaa tulipokuwa university alikuwa anagonga hadi 4 kwa siku na sidhani kama zilipita siku 2 bila kuleta zigo na alikuwa harudii kiukweli sijui ni shetwani au niajeHuyu jamaa anaweza Kuwa anatunga...ila nlipokuwa advance nilikuwa Na mshkaji wangu yeye Kwa siku analeta ghetto madem wawili Na akiondoka dem hutamuona tena.
Yani ukitembea nae njiani Mita 100 ameshasimamisha madem watatu